apo umeongea bwana mkubwa.....yaan wataenda kuangalia mibuyu na nyasi kudadeki.....nchi hii imekuwa kichaka cha majangili wa kichina.... tuwanyonge hao kama mfano jaman!!!!
nazan wewe ni mbulula tena zaid ya mbulula....hivi unaweza kuchimba shimo la choo yako bila vifa kama jembe??? je, hawa chadema watatimiza kero za wanachi na hali si chama tawala? ngoja washike rungu 2015 uone maisha yako yatakavyokuwa bomba.....!!!
Kuna jamaa zangu huwa tunasumbuana sana kuhusu ni mikoa ipi inaongoza kiuchumi hapa nchini kwetu tanzania....kama unajua naomba nifahamishe mwanajamiiforum mwenzio
hata cku moja cwez amin! huku ni kuchafuliana tu! mahisi alyetengeneza huu upuuz either kadisco au kafukuzwa ktka chuo hiki!!!! na pengne ndio walewale wa kusema chuo chetu n bora kuliko udom, mara tupo nafas ya ngap afrika!, wakat yeye n kilaza wa kutupwa na hajui kwmba hicho kilikuwa bora enzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.