Biashara matangazo.......wana jf.kuna hali naiona kwa dada/wake zetu nashidwa kuelewa.Nguo nyingi wanazova sasa zinaonyesha mistari ya chupi.najiuliza ni naumbile? nguo za sasa zinashidwa kusitiri? au ni makusudi?
bora mie sivaagiKwani wewe unaona ni nini??? Maumbiele au makusudi tu??
bora usivae kabisa cause bikini inaongeza bonde la ufa,machupi makubwa yanaleta fangasi na bacteriasiku nyingine ukiwaona na mistari waambie wavae BIKINI au WASIVAE KABISA au wavae machupi yao makubwa na skintight
ha ha ha Smile we ni noma we mpaka barabarani unatembea bila chupi???bora usivae kabisa cause bikini inaongeza bonde la ufa,machupi makubwa yanaleta fangasi na bacteria
ahahaaaa unafua chupi hadi inalegea? kuna wengine wanashona ikichanika eti.mchina kaleta kwa mafungu siku hizini aina ya vyupi. siyo ile imefuliwa hadi imelegea hii haikai fresh. wanawake wenye hips wakivaa hizi wanatoka vizuri. kuna wanaume ambao wanapenda hiyo. wanaume wengine wakiona tu hiyo inawaletea hamu. siyo mimi nimeandika kuna mtu ameiba pass yangu.
wana jf.kuna hali naiona kwa dada/wake zetu nashidwa kuelewa.Nguo nyingi wanazova sasa zinaonyesha mistari ya chupi.najiuliza ni naumbile? nguo za sasa zinashidwa kusitiri? au ni makusudi?
wana jf.kuna hali naiona kwa dada/wake zetu nashidwa kuelewa.Nguo nyingi wanazova sasa zinaonyesha mistari ya chupi.najiuliza ni naumbile? nguo za sasa zinashidwa kusitiri? au ni makusudi?
siku nyingine ukiwaona na mistari waambie wavae BIKINI au WASIVAE KABISA au wavae machupi yao makubwa na skintight
tuacheni kwa raha zetu!! mbona sie hatulalamiki bukta zenu zikiwa juu na suruali mnazishusha?? in short tuvumiliane!!
kwa hiyo we kazi yako ni kuangali makalio tu.so mzima wewewana jf.kuna hali naiona kwa dada/wake zetu nashidwa kuelewa.Nguo nyingi wanazova sasa zinaonyesha mistari ya chupi.najiuliza ni naumbile? nguo za sasa zinashidwa kusitiri? au ni makusudi?
ni fashion.