Greenwhich
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,337
- 968
- Thread starter
- #21
Ccm inaweza kuhutubia watu 1000 na inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 70 lkn cdm inaweza kuhutubia watu 5000 lkn inauwezo wa kutatua kero zao kwa asilimia 3 tuu. Ukubwa wa kamasi sy wingi wa kamasi hata mjae vp ktk mikutano ya cdm lkn.hawana uwezo wa kutatua kero zao..
Maneno ya kukata tamaa hii