Habari Mwalimu wa Physics na Mathematics anahitajika shule ya SANDY VALLEY iliyopo Kivule, Ilala - Dar es salaam.
SIFA ZA MWALIMU
1.Awe na Umahiri wa kufundisha
2.Awe na Shahada ya Elimu katika masomo tajwa.
Maombi yapelekwe shuleni kabla ya tarehe 05/05/2022 na Usahili utafanyika shuleni...
Habari
Kuna kijana amepata nafasi ya kwenda kusoma India kupitia mpango wa serikali ya India "Study In India " (SII) ambapo amepata udhamini wa 100% tuition fee waiver analipiwa, lakini gharama zingine za kuongezea ni USD 2200 afanyeje maana ni ndoto yake kubwa sana kwenda kusoma nje ya nchi.
Hapana ndugu hii ni non_profit organisation hakuna malipo yoyote kujiunga ila utapata nafasi ya kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Bara letu kwa ujumla na vijana kutoka kila kona ya AFRICA
Hello JF Members!
I hope this finds you well, Let me take this chance to introduce and welcome you to AFRICAN YOUTH UNION COMMISSION
The stage is set for the restoration of the African dreamed, driven, engineered and powered by the Youths.
In the pursuit of restoring the African Dreams...
Habari wanaJF naulizia kwa wazoefu au wanaofahamu utaratibu wa kusajili na gharama za shortcode mf. 55576 kwa ajili ya kampuni, msaada kwa wenye uelewa huo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.