Recent content by mwaseba

  1. M

    Ninapokuwa na mwenza wangu kitandani, mawazo na hisia huwa zinapotea, nifanyeje?

    Hilo ni tatizo la kujichua kwa muda mrefu.nakushauri uache kabisa hiyo tabia.usipende kukaa pekeyako.
  2. M

    Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

    Mm nimeshafanya hilo dili hapa Chunya. Kwa namna moja kuna changamoto kadha wa kadha, wateja wa huku wanapenda sana kubebewa cement mpaka syt zao, faida ya mfuko mmoja wa cement mara nyingi ina range kutoka 800-1300.faida hii hupungua kwa sababu ya gharama za usafiri wa cement kwan madalari...
  3. M

    Sababu za tatizo la kutokwa na damu puani (Mhina), jinsi ya kuzuia na tiba yake

    Mm nimehangaika sana na hilo tatizo nilipona kwa njia hii: 1.Unachoma nyoya la kuku la nyuma mkiani unajinusisha mara kadhaa. 2.chukua majani ya viazi vitamu yaan matembele kisha fikicha na uzibe puani,hiyo ndiyo mwisho wa hiyo hadithi.
  4. M

    Mafuta ya KY-Jelly: Ni yepi matumizi yake sahihi?

    Wataalam wanatumia hayo wakati wa free calls za tigo.
  5. M

    Ukokotoaji wa riba NMB

    Sasa unatakiwa kuweka wazi interest rate ya nmb.kwa msaada zaidi waweza chek ms word 2013 wamekuwekea kabisa pale amortization sheet. Nb.kadri mda wa marejesho unavokuwa mrefu ndivyo unavopata gharama kubwa za marejesho
  6. M

    Mwigulu ametoa ajira?

    Hadi chunya porini kabisa pia kumeandikwa.
  7. M

    Chadema yatikisa kwa mulugo; mtangaza nia aacha gumzo

    Mwakibinga ni jimbo la lupa mkuu.chunya kuna majimbo mawili,yaani lupa na songwe
  8. M

    Nataka kujifunza ordinaly na advanced excel, niko Mbeya Mjini

    Nashukuru sana kwa ushauri.nina laptop na pia nina uwezo mzur wa kutumia microsoft word isipokuwa excel ndo tatizo..so nikaona ni vema walau nikipata mtu wa kunifundisha hiyo excel ili niwe namlipa walau masaa 2 tu kwa siku.
  9. M

    Nataka kujifunza ordinaly na advanced excel, niko Mbeya Mjini

    Ninahitaji kujifunza excel ordinaly na advanced.niko mbeya mjini, kwa yule mwenye ujuzi au anayeweza kunipa maelekezo sehemu ya kupata ujuzi huo ndani ya wiki moja.pesa ya kulipia huduma ipo tayar.ushauri wenu wadau
  10. M

    Msaada: Kujichua kunanitesa

    Fanya yafuatayo 1.usipende kukaa ukiwa mwenyewe,yaan jichanganye 2.fanya sana mazoez 3.penda kujisomea hata katika mitandao madhara mbalimbali ya kupiga punyeto. 4.muombe mungu akuepushe na hilo. Mimi mwenyewe nilikuwa fundi miaka ya 2001lakin hadi sasa sitamani hata kidogo unless otherwise stated.
  11. M

    Ona alichonifanyia huyu dada

    Usithubutu kumuachia gar hata kidogo,
  12. M

    Vitu mwanaume anavyotakiwa kuwa ameshavifanya akifikia miaka 30

    pesa zikikuwahi,ukakosa mungu ndani yako walah ni matatizo matupu
  13. M

    Wabunge 10 machachari, 10 wakimya

    victa mwambalaswa
  14. M

    Nyalandu atuma kikosi kazi kumaliza nyoka wa Koboko Urambo

    hao nyoka hata huku kwetu chunya wako wengi sana..wanaitwa black mamba.wako katika rangi tatu yaani kijivu,darkblue na na goma jingine ni kama gamba la mti wa myombo.pia nyoka huyu ni mrefu sana na anauwezo wa kusimama zaidi ya urefu wa binadamu. pia nyoka huyu hatembei usiku kwa kuwa anaogopa...
Back
Top Bottom