Nashangaa kwa nini ripoti ya #MAKINIKIA imeshindwa kupendekeza #chama kufutwa??? Viongozi walio tokana na #CHAMA ndio walio tufikisha hapa, yaan kuingia mikataba ya kipuuzi, mchawi mkubwa ni #CHAMA, kila mtu atakae chunguzwa kuanzia mawaziri mpaka wanasheria wote ni #MAKADA, wapinzani walio kuwa...