Recent content by mwaruhita

  1. M

    Mimi na mke wangu kitandani ni mzungu wa nne

    Muingize group mojawapo picha zitakapo ingia ataelewa
  2. M

    Huyu mwanamke ataniua jamani

    Nenda Duka la dawa kanunue dawa Moja inaitwa VEGA tumia utaona matokeo
  3. M

    Ungepewa nafasi uchague

    Imeandikwa enyi waume wapendeni wake zenu. Na enyi wake watiini waume zenu. Kwa maoni yangu mpaka hapo imeshajulikana nani Wa kumpenda mwenziwe
  4. M

    Namna ya kuandika thread

    Mimi ni mgeni katika JF. Naomba mnielimishe namna ya kupost thread mpya humu.
  5. M

    Nahisi sina bahati

    Mimi ninawasiwasi na ujuzi wake panapo sita kwa sita. Amechezwa unyago.?kama bado basis ajaribu.
  6. M

    Wadada wa kazi na visa vyao, nimemtimua wangu jana

    Nawaza mfano hizo nguo zingeenda kufuliwa kwa dobi. Hiyo pochi ndobi angeifanyia kazi. Nani angelaumiwa au angepigwa makofi.
  7. M

    Msimamo wangu

    Bora we we umekuwa muwazi. Wanawake waliowengu huo ndiyo msimamo japo ukweli huo wnaume walio wengi hapendi kuukubali. Viva a to to.
  8. M

    Kuanzisha Shule ya Mahusiano

    Unauzoefu gani katka ndoa. Na unaelimu gani katika maswala ya ndoa? Unaonaje uneweka wazi wasifu wako.
  9. M

    Nilizaa nje ya ndoa, nitahalalishaje hili suala?

    Mwezeshe huyo nyumba ndogo yako ili awe na uwezo wa kumlea vizuri pasipo kukutegemea sana. Mbeleni huko ukweli utajipambanua bila kuumiza kichwa.
  10. M

    Nimemchomea mke wangu kazini kuwa anatumia cheti feki

    Kitabu kitakatifu cha Mungu kinasema mtuakikukosea, msamehe saba Mara sabini. Vile vile samehe upate kusamehewa.
  11. M

    Yani wanaume jamani

    Kwa nini hasemi katendwaje. Anatuachia kitendawili. Tega. Ngumu kutegua afunguke.
  12. M

    Hotuba ya Rais Kikwete kuliaga Bunge - 09, Julai 2015

    Katika hotuba yake anasema atalivunja rasmi tarehe 20/7/2015. Kisichoeleka nini hapo.
  13. M

    Hivi jamani kwanini wanawake hamna mapenzi ya kweli?

    Nikutadharishe kwamba hakuna malaika. Piga chini huyo unapata mwingine the same. Au zaidi kuliko Wa mwanzo.
Back
Top Bottom