Sisi tumeumbwa, nyie mmetengenezwa.
Kasome mwanzo 5:2 kama muislamu bhas. waliumbwa wote
nakuelewa...tena unakuta na hasira zako hizo yeye habari hana
Ningekuwa na uwezo Leo ningekamata kumbe yeyote mwenye viungo vya uzazi ningepeleka Uwanja wa Taifa ningechapa fimbo za makalioni ningechapa, nawanyoa nywele na nyusi zote na chupa, nawaweka juani then nachukua koleo nang'oa meno mawili ya mbele yale hapa, halafu namlaza kwenye cement juani mpaka jua likuche.
Then usiku namuingiza kwenye maji ya barafu akitoka nampa juisi ya pilipili kichaa hafu kesho asubuh nawaachie mrudi makwenu yani huyu kiumbe mme ameniuzi sana sana.
Shikamoo nyie wanaume hivi sijui manakuaga na akili gani halafu kujifanya kila kitu mnajua wakati hamna lolote.
Taratibu dada yangu.. uko sehemu gani mbeya hapa nikuletee juice ya parachichi? sina kazi leo
id bet my last coin huyu mdada atakua mchagga
Ningekuwa na uwezo Leo ningekamata kumbe yeyote mwenye viungo vya uzazi ningepeleka Uwanja wa Taifa ningechapa fimbo za makalioni ningechapa, nawanyoa nywele na nyusi zote na chupa, nawaweka juani then nachukua koleo nang'oa meno mawili ya mbele yale hapa, halafu namlaza kwenye cement juani mpaka jua likuche.
Then usiku namuingiza kwenye maji ya barafu akitoka nampa juisi ya pilipili kichaa hafu kesho asubuh nawaachie mrudi makwenu yani huyu kiumbe mme ameniuzi sana sana.
Shikamoo nyie wanaume hivi sijui manakuaga na akili gani halafu kujifanya kila kitu mnajua wakati hamna lolote.
Hahaaa ndagha kaka,hapo umenifikisha kaka usisahau mafufu
Sulubiwa tu kwakweli maana hakuna namnaNa mie pia nisulubiwe?
i nid my husband to be romantic what should i do,nimejaribu kwa vitendo naona mwenzangu ka haelewi...hata tunapokuwa faragha inaonekana ka mwenzangu anaona aibu...kusema i lov its like mwaka mzima sijasikia...hata ukimuuliza unanipenda utasikia eeh...ndo mana niko na wewe mi sipendi hivyo nifanyeje hamna jarida nikampe asome...yani sielewi sio siri inaninyima raha...although smtimes anaonyesha anajali lkn sio km vile mtu anvyotakiwa afany kwa mpenz wake.....plzzzzz na mi nampenda sana my husband...