Nilizaa nje ya ndoa, nitahalalishaje hili suala?

Nilizaa nje ya ndoa, nitahalalishaje hili suala?

Ulifanya vibaya ungekuwa unampenda kiukweli ungemwambia muongelee ukajaribu nje

Hii kitu ni unalo, mie hata ndoa ingekwisha kabisa. Fikiria asingezaa je na mbegu kumbe unamwaga kwa wengine? Mengi ulioandika kwa kujitetea hatskuamini na milele ndio hivyo.

Mruhusu jae akajaribu kuonjwa ujisikie raha. Matatizo ya uzazi uwauma wanawake sana tena sana hata akionyesha yupo poa ogopa donda hiloo bayaaaaaa. Tabia mbaya wewe na haumpendi ile kabisaaaaaaaaa
 
yaan wanaume mmmhh

duuh, sio shda kama unakua umeamua kuweka mambo sawa but kwa mara nyngne usirudie tena, then kwanza kabla ya yote muweke mkeo chini muongele ilo swala kwa taraaatiibu na kwa kina then atakuelewa na itakua halali kimya kimya bila tabu ya wat wengne kufura
 
Hadi tafsiri ya kupenda ishachakachuliwa siku hizi....Hatari Sana
 
duh!! umeongea mkavu kweli.
ukiwa ni wewe utakubali?

mii nakubali tu ishatokea , mii enzi za udogo ndingi aliwaleta kaka zetu watatu akamwambia maza hawa ni watoto wangu full stop wataishi hapa full stop

tuliishi vizuri hadi ndingi alipotangulia mbele za haki
 
mii nakubali tu ishatokea , mii enzi za udogo ndingi aliwaleta kaka zetu watatu akamwambia maza hawa ni watoto wangu full stop wataishi hapa full stop

tuliishi vizuri hadi ndingi alipotangulia mbele za haki

Full stop au cyo?
 
ukweli ndio utakaokuweka huru.........mwambie kweli yote,,, akigoma kusikiliza ....muimbishe tuu....mueleze sababu iliyopelekea ambayo yeye anahusika....then akwambie moja, yuko tayari kuishi nae au arudi kwa mamake?....tumia mfumo dume tuu hapo for the risk of that mtoto....
 
Mwezeshe huyo nyumba ndogo yako ili awe na uwezo wa kumlea vizuri pasipo kukutegemea sana. Mbeleni huko ukweli utajipambanua bila kuumiza kichwa.
 
Mkuu mwambie ukweli kama uliosema hapa kuwa ulienda kujaribisha kama uko fit baada ya yeye mwenyewe kukutia wasiwasi, aaah sipati picha hivyo reaction yake!! ila ndo ukweli wenyewe kwa mujibu wa maelezo yako.

Hahaaa hizi ndoa zina vituko jamani loh!!
Kuna jamaa alikuwa na watoto 9, NGO moja ikataka kusaidia wenye watoto 10, akamwomba mkewe aende akalete mtoto aliyemzaa nje kwa siri ili wawe 10 wapate msaada. Aliporudi hakuwakuta wale 9 alipouliza akaambiwa baba zao wamekuja kuwachukuwa ili nao watimize watoto 10. Asante.
 
Mwaga ugali tu....na yeye amwage mboga!:A S angry:
 
Ulifanya vibaya ungekuwa unampenda kiukweli ungemwambia muongelee ukajaribu nje

Hii kitu ni unalo, mie hata ndoa ingekwisha kabisa. Fikiria asingezaa je na mbegu kumbe unamwaga kwa wengine? Mengi ulioandika kwa kujitetea hatskuamini na milele ndio hivyo.

Mruhusu jae akajaribu kuonjwa ujisikie raha. Matatizo ya uzazi uwauma wanawake sana tena sana hata akionyesha yupo poa ogopa donda hiloo bayaaaaaa. Tabia mbaya wewe na haumpendi ile kabisaaaaaaaaa

nilikaa naye mara kibao kuongelea suala hilo na akawa hanielewi. mwanzoni niligoma kuzaa kabla hatujaoana lakini
ikafika hatua akawa ananiambia simjali.
nikakubaliana naye ili kumtimizia kile anataka. alipoona bado akaanza kuniambia twende kwa daktari,
mi nikaona hii sasa shida.
mtu sijakaa naye mfululizo hata miezi miwili muanze kwenda kwa daktari kumuambiaje?
hospitali nako wana criteria zao za kusema hapa pana shida sasa.
mwenzangu akawa hanielewi.
 
kipimo sahihi ilikuwa ni kwenda hosp na sio kuwafanya wanawake maabara ya kupimia sperm zako..........kuna uwezekano mtt wa mchepuko sio wako........na mtt wa mkeo pia sio wako!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
siri ya mtoto anaijua mama lakini kuna mwingine hakuna hata siri.
 
Sa unaogopa nini. Nipm namba ya mkeo nikusaidie kumwambia.

Pangu Pakavu
 
Chuna tu , ila baba zetu wa enzi za when men were men hilo hata halikuwa tatizo.
Ila kuwa na uhakika kama hao watoto wote ni wako.
 
Back
Top Bottom