Askari polisi mwenye elimu ya kidato cha nne:-kipato chake kwa mwezi ni kama ifuatavyo hapa chini:-
Basic salary ni Tsh.430,000/=
Posho ya chakula Tsh.300,000/=
Posho ya vinywaji Tsh.100,000/=
Posho ya mavazi Tsh. ............/=
Posho ya nyumba Tsh............./=
Bado unaweza kukuta askari...
Nilifanya biashara moja hivi ya hatari nikapata mtonyo wa 8.M faster,then nikaurudia huo mchongo nikapata 6.M faster!!jumla nikawa na-tatol ya Tsh.14.M kwa account!!kipindi hicho nilikuwa sidaiwi popote pale Tz!!nikazama kwenye taasis fulani hivi nikakopa 18.M net!! So 18.M+14M= 32.M. Nikaagiza...
Moja kwa moja naomba niende kwenye mada wakuu (me/ke).Leo nimeona kidogo niweke wazi suala la single mother's katika relation ship hasa kwa wale wanaotaka kuoa but excuse me I stand to be collected and not insulted. Direct let us move to the point (s) hereinbelow:-
1/ Single mother's hawatakiwi...
Yes huwa inatokea sana unajua kabisa manzi analiwa sehemu nyingine lakini huwezi kumuacha au unajua kabisa penzi limekufa lakini haupo tayari kumuacha nafikiri hapa ni suala la kubadili tu fikra!!futa namba yake ya simu,punguza kukutana na watu wake wa karibu in short tafuta mahusiano yako Malta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.