Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,621
DhamaniKwanza kabisa nimekutoa kwenye list ya Alpha male.
Inaonekana wazi ww na huyoo manzi maisha yako ndo yenye dhamani zaidi kuliko huyo mwanamke. Kwanza agr yako bado ni kijana mdogoo ambaye kwa umrii huo unabidi ukomae na kupambana zaidi katika kusaka pesaaa kuliko kulilia mapenzi. Hiv huoni hata aibu unavyo kazana kulilia mwanamke ambaye kwanza anaonekana wazi yeye mwenyewe ajitambui na licha ya hvyoo humwamini, then dear brother what's are you waiting there.....?
Fanya mamuzi kama mwanaume kwa umri wako saiv unavaa uweke nguvu zako kweny kusaka pesaa na pia mtangulize mungu mbele habari za huyo mwanamke ambaye kashazalishwa huko achana naye mapema maan am sure hapo na yy ashajua wazi ww ni boya lake na kwake huwezi chomoka kbisaa.
Vunja line sajili nyingine then focus na kutafuta pesa mda mwafaka wa ww kupata mwanamke bora ukifika mbona watajisogeza tu na ww utachagua unaye mtaka mzeeh baba
Thamani
Ulijifunza wapi maneno ya kiswahili wewe ndezi.....?!