the whole concept ya "take one" ilikuwa ni ya irene paul, na kama mtakumbuka wakati mawingu tv inaanzishwa wakatangaza kuwa maproducer na wenye idea wazipeleke ili zikafanyiwe mchujo, Irene ndo akaioeleka hiyo concept na alirekodi vipindi kadhaa, as you know wasanii wetu walivyo mambumbumbu wala...
be careful with my heart is the best soap opera? bila shaka mwandishi wa hii thread huzijui best soap opera. what abt hizi "The Promise", "It Might be You", "The Long Wait", "Mara Clara" etc
ndio shida ya kuwa na mapresenter madivishen 5, usitegemee analysis ya kisomi toka kwa Zamaradi Mketema.yeye ni bendera fuata upepo angalia hata show yake ya "TAKE ONE" ilivyo ya kimbea mbea, wanaJF hii show ya TAKE ONE Zamaradi na bwana yake RUGE walimwibia IRENE PAUL.
sasa kama wana mtaji huo ni kwanini washindwe kuwa na network stable, wanategemea network za kimagumash? walah hawa CRDB wameniudhi kwa muda mrefu saaaaaana.
inasemekana kuwa CRDB BANK ndio benki yenye mtaji mkubwa kuliko benki zote za kitanzania (1...BILLION USD) cha kushangaza ndio benki yenye network mbovu sijawahi ona hapa TZ, kwa mfano mara kadhaa nimekwama kufanya transaction kwenye branch zifuatazo Mikocheni, Mbezi Mwisho, Lumumba, Millenium...
Muhongo anastahili kunyongwa, huwez kuwa kiongozi wa umma halafu unakatisha tamaa wananchi wako kuwekeza kwenye maliasili zao na kuwakumbatia MAFISADI. time will tell
wasichana ni ving'ang'anizi sana kama kupe, wana tabia ya kujiaminisha kuwa BF ndio mume, hata mim walinisumbua sana lkn nilowashinda kwa jina la yesu. Pole mkuu kwa maswahibu yaliyokupata, cha msingi mtafutie mtaji umpatie then kaa nae mbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.