Hawa CRDB bank ni bure kabisa

Hawa CRDB bank ni bure kabisa

crdb niliwahama kitambo , nimejipumnzisha posta bank

bora wewe ulifanya maamuzi sahihi, itabidna mimi nikawashawishi board of directors tufunge account zetu, bora hata KCB Bank au Bank ya Posta.
 
sasa kama wana mtaji huo ni kwanini washindwe kuwa na network stable, wanategemea network za kimagumash? walah hawa CRDB wameniudhi kwa muda mrefu saaaaaana.
tupo kwenye soko huria. hama tu!
 
Uzuri wa CRDB ina network ya mabranch kibao na saivi wameanza kuzama hadi mawilayani. Yan ukienda hata karagwe kununua maharage unajitolea zako pesa bila shida.
Dawa ya hao wenye majibu mabaya ni kuripoti aidha kimaandishi kwa wakubwa zao, au andika kwenye facebook yao.
Kuna jamaa mmoja namfahamu walimcheleweshea kadi 3months mbona alipompigia dr ilitoka ndani ya 3 days
Hawa jamaa bado ni wazuri compared na hizo benk nyingine.
 
Back
Top Bottom