Edward Moringe Sokoine 1938-1984 | Historia na wasifu wake

Kwa nchiyetu historia itajirudia tu!, Amini .


Kwa haya magenge ya wahuni na wezi?? Siamini hata kidogo na sitoamini hilo kamwe. Tusidanganyane jamani, nchi imejaa wahuni na wezi tupu.

BABA MWIZI ANAMWACHIA MADARAKA MTOTO MWIZI, ALIYESOMESHWA KWA HELA ZA WIZI, ANAYELALA KWENYE NYUMBA ILIYOJENGWA NA PESA ZA WIZI-ANAKUWA MBUNGE HATIMAYE WAZIRI.

Itakuwa ngumu sana.
 
ni upuuzi kufikiri kuwa hatuna viongozi tena sio sawa tu na sokoine bali kumzidi tena kwa mbali sana. tatizo ni mfumo tu uliopo.
 
ni upuuzi kufikiri kuwa hatuna viongozi tena sio sawa tu na sokoine bali kumzidi tena kwa mbali sana. tatizo ni mfumo tu uliopo.

Mkuu kwa kizazi hichi sahau hata mfumo ukibadilika tayari umeshawaathiri iwe ni ndani ya chama tawala au upinzani ndio maana nasema itachukua miongo kadhaa kumpata mtu kama Sokoine believe me or not.


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Ndugu yangu kama unajua basic principles za uchumi ni kwamba hali iliyokuwa inajitokeza ni supply ilikuwa ndogo ukilinganisha na demand - ndo maana Salim Ahmed Salim alipoingia alilishughulikia hilio na tukaondokana na fedheha za kuvaa mifuko mitupu ya mbolea maarufu kama vi-sulfate. kina mama walianza kuvaa kaniki kama ilivyokuwa wakati wa ukoloni- what a shame!!. nchi huru watu wanapanga misululu ya kupata sukari ya siku mbili, waTanzania wanakwenda ng'ambo na kuvamia maduka kununua dawa ya meno kuja nayo kama bidhaa ya matumizi ya nyumbani na udhalimu wa kiuchumi kibao.

unajua kwa nini moringe alisusa na kurudi kwao Monduli hadi akafuatwa arudi.

mfumo wa uchumi wa kibabe ume-prove failure popote duniani.
"Juu ya suala hili la mapato kutolingana na matumizi ni kwamba tungependa kupunguza uongezaji wa wataalam wasiohitajika katika Serikali na katika mashirika ya umma mpaka hapo hali yetu ya uchumi itakapokuwa katika hali nzuri" - Edward Moringe Sokoine, 23 Oktoba 1982.
Mkuu kwa mfumo tuliokuwa nao wakati huo ulikuwa ni wa ujamaa na kujitegemea hivyo wananchi wote walitakiwa waishi maisha yaliyolingana kwa maana ya kila mnachokizalisha basi mtakitumia wote kwa usawa.
Salim Ahmed Salim aliweza kubadilisha uchumi maana mwaka 1985 alipoingia madarakani Ally Hassan Mwinyi tulibadilika kutoka kwenye ujamaa tukaingia kwenye ubepari.
Ila kama Salim angeendelea chini ya utawala wa Nyerere hali ingebaki vilevile, na Nyerere alijua mfumo wa ujamaa na kujitegemea umeshindwa hivyo ndio maana aliamua kuachia ngazi mwaka 1985 kwa sababu hakuwa muumini wa mfumo wa kibepari.







Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
mkuu mimi ni mmojawapo ya kiongozi mzuri na muadilifu. na tupo wengi.

Mkuu kwa kizazi hichi sahau hata mfumo ukibadilika tayari umeshawaathiri iwe ni ndani ya chama tawala au upinzani ndio maana nasema itachukua miongo kadhaa kumpata mtu kama Sokoine believe me or not.


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Jamani ninahitaji kupata hotuba za Sokoine (R.I.P).Ziwe za. Audio, video , ama maandishi. Hotuba 15 za mwanzo kila moja nitailipia 20000. Malipo yatapitia kwa Invisible. Nichukue furusa hii kumuomba Invisible kulishughulikia hili.
Utaratibu, Tuma hotuba hiyo kwa Private message kwa kutumia account yako Ya JF kwa Invisible. Na mimi nikapata hotuba hiyo kupitia kwake. Nitakuwa nalipa kwa idadi ya hotuba nitakazopokea. Itakuwa kuwa vizuri zikipatikana za audio au video. Nimeamua zipitie kwa Invisible kwa ajiri ya kuzihakiki kama ni fake ama genuine.

Hotuba hizi nitazitoa hapa JF moja baada ya nyingine kwenye ule mwezi wa kumbukumbu ya kuzaliwa (siyo kufa ) Edward Moringe Sokoine.

Niko serious na hili na unaweza kumuulizia Moderator kwa ufafanuzi zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Ni wakati sasa waTz kuungana kwa pamoja kumwombea Hayati SOKOINE na kuamini ipo siku atatokea mtu wa kuyatimiza yale matakwa yake ya kuifikisha Tz mahali pazuri kiuchumi na maendeleo pia AMEN

R.I.P EM Sokoine! daima tutakukumbuka kwa wema wako.
 
"Katika nchi inayojali haki na usawa, majeshi hayana budi yawe ni chombo cha kulinda haki na maslahi ya walio wengi. Na kamwe hayaruhusiwi kuwa ni chombo cha wachache wenye kujali nafsi zao na kusahau maslahi ya walio wengi" - Edward Moringe Sokoine, 1Februari 1977

MY TAKE:

Kwa sasa sidhani kama watawala wanaweza kulitekeleza hili kwa ufanisi.

kwa sasa mh,inaogopesha kwa kweli
 
Naomba niulize wakatoliki kuhusu idadi ya wake wa sokoine naona kama wale wasioeleweka kuhusu ndoa mnawabana sana
 
00987994a16e19238784a172a913348b.jpg


Leo ni kumbukumbu ya miaka 32 ya kifo cha waziri mkuu enzi ya Serikali ya Mwalimu. J.K. Nyerere, ndugu Edward Moringe Sokoine.

Zaidi ya habari hizi kuandikwa kwenye baadhi ya magazeti hakuna chochote kinachoendelea kumuenzi shujaa huyu aliyekuwa mwiba mkali kwa wahujumu uchumi wa kipindi hicho.

Kulikuwa na utaratibu wa kwenda kwenye kaburi lake na kufanya maadhimisho lakini miaka ya hivi karibuni naona hakuna kitu kama hicho tena.

Kwa wale tulioishi na kuonja uongozi wa kiongozi huyu shupavu tupite hapa na kutoa neno la kumuenzi Edward Moringe Sokoine
64577cac8afd4d9a7ec5b118b7c38f6b.jpg
 
1983 Mwl Nyerere alienda kwny Mapumziko Butiama Nchi akaachiwa Edward moringe enzi hizo PM ndie alikuwa pia Makamu wa kwanza wa Rais!
Mwl alikatiza likizo, jamaa alikamata na kutupa ndani wale Wazee wafadhili wa TANU waliomfadhili mpaka Nyerere Mwenyewe kina Mzee Rupia, kuna watu walikuwa wanamwaga sukari, Mchele na kuna wahindi walifikia mpaka kutupa pesa baharini pale salenderbridge!
Watu wakakaa kama kamati April 12 Msouth Africa akakwepa magari yote ya Msafara akaenda kumgonga kwa "bahati mbaya" kwa mbele lakini aliekufa ni PM aliekuwa kakaa siti ya nyuma na amefungwa Mkanda! Bodyguard na Dereva wakapona kwa "bahati nzuri" japo ndio walikuwa wamekaa mbele!
Ile mtu hata Mwl alikuwa anazima sigara.
 
Back
Top Bottom