Acha uongo na wale tulio waona wanalalamikia uchakachuaji ni akina nani,zile kadi feki mia nne zilizoongeza kura za Nepi zilitoka wapi?watz hawadanganyiki mwaka huu,jiandaeni kisaikolojia kuwa wapinzani tu mwakani.
Wamezoea kututukana sana hao mccm,hukumbuki mwingine alituambia hata nyasi tutakula lazima ndege ya mwenye kaya inunuliwe,sijui nani kawaloga au ukimya na nidhamu ya uoga ya sisi watanzania...inatugharimu kwa kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.