Lusajo11
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 1,887
- 1,970
Hiyo ya kushushwa kwenye daladala sikuizi imekuwa kawaida.
Wiki chache zilizopita kwenye basi la dar mbeya kulikuwa na mabishano makali sana ya vyama vya siasa. Mzee mmoja tu ndio alionekana kuitetea CCM lakini naye alisema haridhiki na mwenendo wa sasa wa chama hicho na akakiri kuwa hali ni mbaya. Sikujua yeye ni nani ndani ya CCM.
Wiki chache zilizopita kwenye basi la dar mbeya kulikuwa na mabishano makali sana ya vyama vya siasa. Mzee mmoja tu ndio alionekana kuitetea CCM lakini naye alisema haridhiki na mwenendo wa sasa wa chama hicho na akakiri kuwa hali ni mbaya. Sikujua yeye ni nani ndani ya CCM.