K kengeza kubwa Member Joined Jul 30, 2015 Posts 16 Reaction score 6 Aug 10, 2015 #21 Lowassa kajenga shule za kata miaka miwili tu nchi nzima, lakini pinda na jk wake maabara tu zimewashinda. Ukiulizwa kuwa pinda kafanya hana la kujibu
Lowassa kajenga shule za kata miaka miwili tu nchi nzima, lakini pinda na jk wake maabara tu zimewashinda. Ukiulizwa kuwa pinda kafanya hana la kujibu
kikonko JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 513 Reaction score 124 Aug 10, 2015 #22 Alivoanguka lipumba historia inajirudia kutoka kwa mrema
M Mwanjagwalelu Member Joined Jul 17, 2015 Posts 42 Reaction score 9 Aug 10, 2015 #23 Na bado tutasikia mengi mwaka huu,mkolezo wa hasira kwa wananchi dhidi ya ccm.