Recent content by Mwangi T.

  1. Mwangi T.

    JamiiForums Tanzania Pole sana Mh Temba, Shetani hana Rafiki

    Atakuwa kajichinja yule mshamba kama wanavyojitekaga!!
  2. Mwangi T.

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu Hassan Mimi Sikutambui, Wewe si Rais Wangu

    Hata mimi sio Rais wangu!!
  3. Mwangi T.

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Azim Dewji: Wanataka kuleta vurugu halafu wasingizie hakuna HAKI Tanzania

    Nishamtukania mamake!!
  4. Mwangi T.

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Malisa: Wazazi wangu na majirani wamewekwa chini ya ulinzi na Polisi

    Siku hizi serikali imeamua kujibu hoja za watu Kwa bunduki tu!!
  5. Mwangi T.

    JamiiForums Tanzania Sasa kwanini walifanya siri kumshikilia Geofrey Mwambe?

    Ni Tanzania ambapo unakamatwa kwanza kwa hisia, kisha ndio wanaanza uchunguzi kama umetenda kosa wanalokutumu nalo au hujatenda! Muda huo wote wakati wanachunguza unakuwa nyuma ya nondo na unaweza kuwa ushateswa sana ili ukiri kilazima makosa wanayokubambikia!!
  6. Mwangi T.

    JamiiForums Tanzania Tuwakatae Wahuni Wote

    Nishakutukania mamaako!!
  7. Mwangi T.

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Majizzo: Naomba sana tusapoti wasanii wetu, ni vijana wa kimaskini

    Chama chenu kimepata ushindi wa asilimia 98! Hii Ina maana watanzania zaidi ya 98 asilimia wanapenda CCM, sasa inakuwaje watanzania asilimia mbili tu wawaathiri wasanii kwa kususia kazi zenu!! Acheni Umaku!!
  8. Mwangi T.

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Singida Black Stars waelekea Burundi katika mchezo wa Kombe la CAF Confederation

    Safi sana Singida, wakija nyumbani tuwakazie tuwasukumilie nnje!!
  9. Mwangi T.

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ni kweli kwamba Tar 29-10 watu watatoka kweli?

    B
  10. Mwangi T.

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ni kweli kwamba Tar 29-10 watu watatoka kweli?

    B
Back
Top Bottom