Ni Tanzania ambapo unakamatwa kwanza kwa hisia, kisha ndio wanaanza uchunguzi kama umetenda kosa wanalokutumu nalo au hujatenda!
Muda huo wote wakati wanachunguza unakuwa nyuma ya nondo na unaweza kuwa ushateswa sana ili ukiri kilazima makosa wanayokubambikia!!
Chama chenu kimepata ushindi wa asilimia 98! Hii Ina maana watanzania zaidi ya 98 asilimia wanapenda CCM, sasa inakuwaje watanzania asilimia mbili tu wawaathiri wasanii kwa kususia kazi zenu!! Acheni Umaku!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.