Recent content by Mwanghole

  1. Mwanghole

    Majina na Tabia zake

    Frank ni wacheshi, wenye mvuto na wanapendwa sana na mabinti hivyo hawajatulia.
  2. Mwanghole

    Majina na Tabia zake

    Joyce ni wazuri kwa sura ila wana maringo na wengi hawana msimamo.
  3. Mwanghole

    Bongo movies...

    Mrembo lazima avae wigi, mahereni makubwa na achanganye kidogo kingereza anapoongea pia akinywa juice au soda hamalizi yote.
  4. Mwanghole

    Vidume wewe utachagua yupi?

    Hao wote sio binadamu wakuu, unaweza ukamchukua huyo B halafu mkiwa faragha akatafuna ulimbo akaula! Huyo A juu mzuri lakini mambo hayawezekani.Mimi sichukui yeyote na nitoka mbio ajabu.
  5. Mwanghole

    Never suspect your husband

    Halafu hiyo ya fasta fasta huwa ni tamu balaaaa.... Inaitwa "quickie"
  6. Mwanghole

    GE2010 Kufuta alama ya wino kwenye kidole

    Kwa huyo anayetoka ngozi kuna mdudu anaitwa kaa (crab), anapatikana kwenye mito na baharini pia wapo. Mpasue huyo utumbo wake ni dawa ya kutoka ngozi mkuu!
  7. Mwanghole

    swali kwa kina kaka wenye wapenzi

    Msimamo wa huyo dada ni mzuri kwa kuwa wewe upo mbali na hawezi kujiachia tu kwako hata kama anakupenda maana anaogopa kubwagwa siku akigundua umepata wmingine huko ulipo.
  8. Mwanghole

    Habari wana jamii

    Wana jamii nawasalimu mwenzenu ndio naingia. Nipokeeni niwe miongoni mwenu.
Back
Top Bottom