Hao wote sio binadamu wakuu, unaweza ukamchukua huyo B halafu mkiwa faragha akatafuna ulimbo akaula! Huyo A juu mzuri lakini mambo hayawezekani.Mimi sichukui yeyote na nitoka mbio ajabu.
Kwa huyo anayetoka ngozi kuna mdudu anaitwa kaa (crab), anapatikana kwenye mito na baharini pia wapo. Mpasue huyo utumbo wake ni dawa ya kutoka ngozi mkuu!
Msimamo wa huyo dada ni mzuri kwa kuwa wewe upo mbali na hawezi kujiachia tu kwako hata kama anakupenda maana anaogopa kubwagwa siku akigundua umepata wmingine huko ulipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.