Ko wewe wafuata mkumo wa Simba! Kwanza Simba ado wanna mashindano ya kimataifa Yanga ishatupwa nje hiyp Dazani ya mkocha wa kimataifa ya kazi gani? Ligi kuu Tu? Kombe la Mapinduzi? Au kombe la Azam? Hayo ni matumizi mabovu ya rasilimali!
Pole mkuu! Lakini sio kazi zote zipo hivyo kuna wengine wanarelax sana tu! We kuwa mvumilivu uitumie hiyo kazi kama gazi ya kupata kazi nyingine!
Watu husema kama unaona kazi kufanya kazi, Acha kazi uone ilivo kazi kupata kazi!
Uamuzi wa kuacha kazi usiuchukue kala ya kupiga hesau zuri za...
Kaka mali ya Mtanzania ni ya Mtanzania! Kama hapa Zenji tu Wabara haturuhusiwi kujenga iweje turuhusu wakenya waje kujenga Tz na population yetu inapanda kwa kasi namna hii??
Huko Uhamiaji nlitaka kujua kama sheria za uhamiaji zinaruhusu Mkenya kumiliki Ardhi ya Tanzania au la? Maana hata katika...
Aisee hiyo ni kweli kabisa! Mimi mwaka 2014 niliingia mgogoro wa kiwanja na Mkenya tena ana majina kikenya kabisa yanaanza na "O", Lakini bado aliweza kuwanunua maofisa ardhi na mwisho wa siku nikaambiwa mimi hati yangu ni ya mwaka 2014 na yeye ni ya mwaka 2013, Hivyo yeye ndo mmiliki wa kwanza...
Mkuu kwanini usingekuwa ulishaungana na kina Matumla au Mwakinyo?
Nafkikri wale ndi wanaotumia mikono yao kupiga kwa faida, hizo mambo zako zitakuja kukucost!
Kwanza nashauri usirudi tena kupigana nae, anaweza kukuaibisha zaidi kwa kipigo kizito maana utamkuta yupo well ;prepared!
Wakati...
Kama kuna hujuma hao lazima ni Yanga!
Nimeshangazwa eti mechi hizi zote walizopoteza, wanawataja Simba!
Jamani wachezaji kama kina Feitoto wameshindwa kukwamisha mpira wavuni akiwa ndani ya 6 unakuja kuwataja Simba!!!
Na wale mnaomsifu Manara na kuona kanakwamba Simba itapoteza sana kutokana na...
Kweli mkuu kawasahau odaoda na bajaji! Hawa wanakula hata visivyolika (wake za watu)!
Kuna bodaboda alikuwa akiishi mtaani kwangu, akikuonyesha watumishi aliowahi kupiga huweziamini aisee! Kisa lift ya kuja kumchukua kazini na home!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.