Recent content by Mwanaoshimba

  1. M

    Naomba kuuliza matumizi ya gari ya kawaida kuhusu mafuta per day

    Eleza kwanza gari ni aina gani? Ina cc ngapi na umbali kutoka kazini kwenda nyumbani ni km ngapi? Mambo ya kusema gari binafsi, la kawaida au nauli ya daladala sh 1000 yote hayo hayawezi kusaidia kufanya makadirio. Sawa na kusema, ikiwa mtoto wa Ng'ombe anaitwa Ndama, je mtoto wa sungura...
  2. M

    Mashamba Kiwangwa (Bagamoyo)

    Hapo unaingizwa mjini. Mimi nina ekari mbili. Kuna mtu alifika milioni 5.5 nikakataa.
  3. M

    Mashamba Kiwangwa (Bagamoyo)

    Mil 4 hadi 5. Mananasi ndo zao hasa.
  4. M

    Mbowe: Hadi sasa zaidi ya Sh. Milioni 100 zimeshatumika kumtibia Lissu. Dereva anaendelea na huduma ya kisaikolojia...

    We nawe acha ushabiki wa kijinga! Unategemea taarifa za kina za kitabibu kuhusu mgonjwa zitolewe zote hadharani? Unategemea Katibu Mkuu aanze kumtibu naye au aingilie mambo ya madaktari wa hospitali alikolazwa? Unategemea dereva aliyeshuhudia watu waliotaka kufanya mauaji awe mtaani? Huoni...
  5. M

    Taja Jina zuri Kwa mtoto

    Jina lolote la Kitanzania. Siyo majina ya Kikoloni! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Msemaji wa Serikali akiri ndege mpya ya Bombardier Q 400-Dash 8 kushikiliwa nchini Canada. Awatupia lawama wanasiasa...

    Nimesikia kasema miaka ya nyuma. Sikusikia kasema mwaka 2009. Mwaka 2009 na 2010 kazungumzia kesi. Hebu tufuatilie hiyo miaka ya nyuma kabla ya 2009 nani alikuwa Waziri wa Ujenzi. Na zaidi ile kampuni ilinyang'anywa zabuni/kandarasi mwaka gani ndo tutapata ukweli wenyewe. Sent using Jamii...
  7. M

    Zitto: Suala la kuzuiwa kwa ndege lisifanyiwe ushabiki kama mpira

    Filamu nyingine imeingia sokoni! Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Faida za vitunguu saumu kwa wanaume na jinsi ya kutumia

    maneno yamekuwa meng mno. Mara mayai ya kwale, mara mlonge. Yaani shida tupu. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    VETA kuna vyeti feki vingi, uhakiki ufanyike kwa makini

    Na wewe uchunguzi wako uliufanya lini na kwa kwenda wapi na wapi ukabaini hivyo vyeti feki viko vingi VETA. Tuletee hiyo orodha hapa ambayo unaeleza wewe kuwa VETA haimo. Ama ondoa utumbo wako hapa. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    VETA kuna vyeti feki vingi, uhakiki ufanyike kwa makini

    Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa zoezi la uhakiki halijafanyika VETA? na pengine fafanua kwa nini hao wahakiki waliacha kuifanyia uhakiki VETA? Nakuona ukaa kinafiki nafiki hivi! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    VETA kuna vyeti feki vingi, uhakiki ufanyike kwa makini

    Ninachojiuliza aliyeanzisha uzi amefanya uchunguzi gani kubaini kuwa VETA kuna vyeti feki? Maana zoezi la uhakiki lilishapita na wafanyakazi wa VETA walihakikiwa. Sasa anaposema kuna wenye vyeti feki tena kachunguza lini na kwa uhakika gani tena? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    VETA kuna vyeti feki vingi, uhakiki ufanyike kwa makini

    Aliyeanzisha uzi sijui atajisikiaje kwa namna watu walivyompotezea na kuanza kutoa sifa nzuri kwa VETA. Ni kama wamempuuza hivi. Nadhani mara nyingine atakuwa makini kutoa hoja. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    Mahakama ya Kisutu yawaachia huru Masamaki na wenzake watano

    Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom