Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Mtu yuko nje ya nchi na akafanya kosa la mtandaoni kama vile kutukana,n.k akiwa katika ardhi ya nchi ya kigeni, mtu huyo akirudi hapa nchini(Tanzania) anaweza kushitakiwa?
Yaani sheria hii inavuka mipaka ya nchi?
Mwenye majibu tafadhali.
Yaani sheria hii inavuka mipaka ya nchi?
Mwenye majibu tafadhali.