toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Wakuu habari,
Naomba kuulizia magari ambayo hayali mafuta kwa siku unaweza weka lita ngapi? Mfano unaenda nalo kazini tu kila siku.
Umbali wa kazini na nyumbani kwa daladala ni 1000 kwenda na kurudi
Je ukiwa na gari yako binafsi ambayo haili mafuta unaenda nayo kazini tu na kurudi basi, je utapaswa kuweka mafuta ya sh ngapi?
Je hapo gari itatumia mafuta ya sh ngapi kwa kwenda na kurudi tu kazini?
Nauliza kwa gari zinazokula mafuta kidogo
vitz new model
Kwa gari yenye cc 660-1200 matumiz ya mafuta kwa mtu unayeenda kilometa 15 kwenda na km 15 kurudi yakoje gari kama vitz new model
Naomba kuulizia magari ambayo hayali mafuta kwa siku unaweza weka lita ngapi? Mfano unaenda nalo kazini tu kila siku.
Umbali wa kazini na nyumbani kwa daladala ni 1000 kwenda na kurudi
Je ukiwa na gari yako binafsi ambayo haili mafuta unaenda nayo kazini tu na kurudi basi, je utapaswa kuweka mafuta ya sh ngapi?
Je hapo gari itatumia mafuta ya sh ngapi kwa kwenda na kurudi tu kazini?
Nauliza kwa gari zinazokula mafuta kidogo
vitz new model
Kwa gari yenye cc 660-1200 matumiz ya mafuta kwa mtu unayeenda kilometa 15 kwenda na km 15 kurudi yakoje gari kama vitz new model