Recent content by mwanankiya

  1. M

    Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

    Hata mchakato wa kura za maoni, wanaonyesha wagombea wa NYINYIEM tu, kama vile hakuna vyma vingine. Ila pia shirika linaendeshwa kwa hasra kubwa sana kwani wanachagua hata matangazo ya biashara.
  2. M

    Masogange atimuliwa South Africa

    Mmh jamani acheni uzushi...Seki alimuuzia gari Diamond na sio kumpa bure kama mnavyosema.. Binadamu kiboko nimewavulia kofia kwa Uzushi tu.. anyways R.I.P SEKI.
  3. M

    Warembo wa Arusha Town!

    Pia naomba tufunge huu Uzi manake hauna tija na hautusaidii kwa lolote ndugu yangu wa arusha..au unabenefit anything from warembo wa arusha?waliohamia Dar wote?na ukiwaambia wanatoka arusha watakukana manake washakua wadaslam..
  4. M

    Warembo wa Arusha Town!

    Sijakuelewa manake unantajia wachaga wa moshi Bt kaa ukijua happy ni msukuma..mbongo kukaa China sio kwamba nae kabadilika kawa mchina umeelewa..Bt magese is a pure sukuma andamana..
  5. M

    Warembo wa Arusha Town!

    Happy magesse anatokea mwanza
  6. M

    Wameongezeana posho huko dodoma.(picha)

    We ndo umenena ndugu yangu,yan me hpo 2 ndo wanaponikera!!wakishapewa tshirt na khanga baasi wanasahau shida zote walizozipata na watakazozipata tena.. Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
  7. M

    Marafiki tushauriane kuhusu sehemu nzuri na cheap kwa vacation

    Eeh hii imetulia,hahaha nimeipenda sana,so mtu usifanye mambo yako kisa?! Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
  8. M

    wana jf haya ndo mambo ya face book!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    Hahahah jman et akaendeleze kipaji kwa shigongo!! Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
  9. M

    Roma amwaga sir nzito!

    Hahaha umenfurahsha vivian,watu wanafiki sasa hyo ndo siri nzito jaman!!
  10. M

    Nampenda ,lakini wivu wake ni balaaa

    Yan umeongea kweli,coz me pia nina m2 wangu kaamua kunipangia hvy na nikiwa nae siruhusiwi kupokea cm yyt,namvutia kas 2,soon ntamtua
  11. M

    SHow ya Diamond si mchezo totoz ziling'aaje??

    Wema ni mzuri jmn!
Back
Top Bottom