Warembo wa Arusha Town!

Warembo wa Arusha Town!

Stella picha yako imefikaje hukuuuu????????????

DSC07070.JPG
 
Chini ya kila picha ungeweka mwasiliano yao.Sasa unatuwekea ili tuwatumie kupiga master?
 
Acha majungu,waulize watu wa chemistry watakuambia wat happened

majungu gani sasa wakati 95% ya wazawa wa arusha wameoza meno?? hao wamekulia arusha tena wakiwa wakubwa ndo wamekuja arusha ila wangezaliwa Arusha lazima meno yawe machafu,
 
majungu gani sasa wakati 95% ya wazawa wa arusha wameoza meno?? hao wamekulia arusha tena wakiwa wakubwa ndo wamekuja arusha ila wangezaliwa Arusha lazima meno yawe machafu,

shapo kwa red sio kweli
 
Sijakuelewa manake unantajia wachaga wa moshi Bt kaa ukijua happy ni msukuma..mbongo kukaa China sio kwamba nae kabadilika kawa mchina umeelewa..Bt magese is a pure sukuma andamana..
 
Pia naomba tufunge huu Uzi manake hauna tija na hautusaidii kwa lolote ndugu yangu wa arusha..au unabenefit anything from warembo wa arusha?waliohamia Dar wote?na ukiwaambia wanatoka arusha watakukana manake washakua wadaslam..
 
Ddddd

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Ndio uwezo wa warembo wa arusha umeishia hapo?

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Ww hujui unachosema
Umekaa arusha kweli ww
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom