Recent content by mwanaNjilo

  1. mwanaNjilo

    Job vacancies muftee logistics

    Job ad haina deadline? Tangazo lipo kindezi sana. Toa link tuifuata.
  2. mwanaNjilo

    Nisaidieni nitimize lengo langu la kufanya kazi Airport

    Dahaco haipo kwa sasa kwa case ya ground handling. Dahaco ilikua merged na Swissport (T) PLC. NAS wamepata anguko kwenye operations zake. Airliners weng wamewakimbia. Walikua wanawategemea KLM na ATCL, lakini ATCL wamesaini mkataba na Swissport (T) PLC kwajili ya ground handling services tangu...
  3. mwanaNjilo

    Electrical technician natafuta kazi

    Hakuna standing technician mwenye VTA tu. Kwa sababu kua Engineer au Techinian ni academic qualification. Except, VTA inaweza kua added advantage or rather an important qualification kutegemeana na job requirement na nature ya taasisi. Pili, najua kua minimum qualification kua Engineer ni B...
  4. mwanaNjilo

    Electrical technician natafuta kazi

    Sawa. Ndomana nikasema: I stand a correction! Swali moja kwako: Techician na Engineer ni kada moja au tofauti? Ukinipa jibu, naomba niambatanishe swali jingne: Nikweli Engineer na Technician waajiriwa kwa qualification moja wapo kati ya Diploma na B. Degree (kama ulivosema)?
  5. mwanaNjilo

    Electrical technician natafuta kazi

    VTA Level ll huezi ukawa electrical technician ndugu. Unahitaji qualifications zaidi ili uwe techniacian. Taasisi kama Tanesco wana ajiri Electrical Technician kwa qualifications za Bachelor's degree. Kuna waliopata bahati miaka hiyo ya nyuma wakaajiriwa katika kada hiyo akiwa na Diploma. Mark...
  6. mwanaNjilo

    Electrical technician natafuta kazi

    Vocational Technical Award (VTA) Level ll haiwezi ikawa astashahada (cheti) au stashahada (diploma). Hiyo ni category tofaut ya Academic award. Ukimaliza VTA level l, ll na lll (ambazo zinakua accredited na VETA) unaweza ku apply ukasome ngazi ya astashahada (yaani Cheti/ NTA Level 4). I stand...
  7. mwanaNjilo

    Msaada: Certification ya Advanced Diploma

    Asante kwa darasa zuri kaka! *Nimepokea marekebisho kwenye hiyo case ya NTA L9 kua ni Master's degree. Actually nili overlook hzo hatua...nilikusudia kusema Bachelor's Degree ni equivalent to NTA L7 & L8 (wakat NTA L7 ikisomwa kw miaka miwili-NTA L7A & NTA L7B). Ukisema: "Mfumo bado unatambua...
  8. mwanaNjilo

    Msaada: Certification ya Advanced Diploma

    Kaka, kuna maelezo yako yanang'atana. Maelezo yako ni mazuri lakini hayajitishelezi. Unasema Nacte wanatoa National Technical Award based on competency kwa kila level, now naomba uniambie aliemaliza NTA Level 5 anakua awarded na nini?? (as per your maelezo) Pili, hoja yangu ni kwanini ajira za...
  9. mwanaNjilo

    Msaada: Certification ya Advanced Diploma

    Kaka, kuna maelezo yako yanang'atana. Maelezo yako ni mazuri lakini hayajitishelezi. Unasema Nacte wanatoa National Technical Award based on competency kwa kila level, now naomba uniambie aliemaliza NTA Level 5 anakua awarded na nini?? (as per your maelezo) Pili, hoja yangu ni kwanini ajira za...
  10. mwanaNjilo

    Msaada: Certification ya Advanced Diploma

    Habari zenu wadau wa jukwaa hili! Naomba heading ya sred ihusike! Nimekua nikipata changamoto ya jinsi gani yakumuhakikishia mwajiri mtarajiwa juu ya kigezo cha kitaaluma cha stashahada ya juu (advanced diploma). Pengine napata changamoto hii kutokana na kutokujua mfumo rasmi wa elimu wa...
  11. mwanaNjilo

    Hii ni kwa mabingwa wa maswali ya mtego tu

    (Mjue Mwajiri wako...nature of Activities) Kama nature ya duka hilo ni Cash Sales na siyo Credit Sales, mara nyingi 'Wateja' wa biashara hiyo ni wa malipo ya kabla ya huduma "Prepaid Customers" kwahiyo ili uutegue huo mtego, itakupasa uwe na knowledge mahsusi ya nature ya duka...kw mfano, jibu...
  12. mwanaNjilo

    Machizi wote wana maumbile ya kiume makubwa

    [emoji16] Sent using Jamii Forums mobile app
  13. mwanaNjilo

    Machizi wote wana maumbile ya kiume makubwa

    Konfidensi kamz from KNOWING WHO YOU ARE. Rudia tena kusoma mpk utakapoelewa. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. mwanaNjilo

    Machizi wote wana maumbile ya kiume makubwa

    Weka elimu pembeni kwanza! Mbona unakuja speed?? How come, pamoja na shombo zote zile ulizozitoa, afu all of a sudden you try to sound interested in dick size shit? How?? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom