Hawa jamaa ni kama vile wamepewa target ya kukusanya ela.
Hamna siku nimekereka kama kupigwa Tochi saa moja na dakika hamsini asubuhi maeneo ya Tegeta Scansa nikiwa na speed ya 65 km/hr.
Yaani asubuhi asubuhi watu tunapigana Tochi mjini kweli.!!?
Ifike mahali hizi Sheria za makazi na speed...
Asilimia 70% ya watu wanaotoa michango ya harusi huwa hawatoi kutoka moyoni.
Mtu anachangia ili kuondoa aibu tu kwa jamaa ama rafiki.
Siku hizi ishakuwa utamaduni kuchangishana. Baadhi ya watu wamefika mbali wanataka hadi michango ya birthday,kipaimara,komunyo, graduation n.k.
Hamna chuo kinachofundisha ufundi wa pikipiki Tanzania hii kwa sasa.
Mtaftie kijiwe ambacho kina mafundi wanaokubalika na bodaboda umweke hapo. After 6months atakuwa vizuri Sana Kama kichwa ni chepesi.
Ili aelewe zaidi hiyo fani,mtaftie smartphone ya kueleweka ili awe anapitia video za theory ya...
Nashauri ungeenda kupima na Mr.
Unaweza kudhani wewe ndio una tatizo kumbe Mr. Ndio mwenye tatizo.
Siku hizi wanaume wengi Wana tatizo la kutokutungisha mimba.
Barabarani Sasa hivi kumekuwa na vurugu kubwa za magari ya Serikali na mabasi makubwa ya mikoani.
Yaani ukiwa unaendesha gari yako hasa highway ukafika salama unamshukuru Mungu. Barabarani unaweza kuwa mstaarabu na makini Ila mzembe mmoja akakusababishia ajali.
Asilimia kubwa ya Traffic...
Yaani bro wako alishindwa kumuhudumia huyo Dada kimya kimya Hadi issue ikajulikana na wife wake!!?.
Kwa ushauri wangu aendelee kumuhudumia huyo Dada kwa Siri pasipo mkewe kujua. Akishajifungua waende kupima DNA kuthibitisha Kama mtoto ni wake kweli.
Watu wanafiki Sana.
Baadhi ya viongozi wa awamu ya5 walivyokuwa wanawawajibisha watendaji wazembe ikiwepo na Tanesco nyie nyie ndio mlikuwa mnasema kuwa wanaonewa.
Mkasema watu waachwe wafanye kazi wasiingiliwe na wanasiasa au kuacha mifumo ifanye kazi.
Mimi nnachoamini baadhi ya taasisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.