omtiti
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 1,022
- 1,590
Nimekusikiliza kwa makini sana ukijibu maswali ya mtangazaji wa AzamTV, Charles Hilary taarifa ya habari saa mbili usiku leo kuhusu kukatikakatika kwa umeme nchini ,umepwaya sana katika majibu.
Inaonekana hujui tatizo hasa la kukatika umeme ghafla baada ya hayati Magufuli kufariki na kuondolewa kwa management yote ya Tanesco.
Una majibu ya kijanjajanja sana kama ya waziri wako January Makamba, inaonekana mmebobea kwenye fani hii ya kulonga longa .
Nikwambie tu hapo kama umewekwa kwa mission maalumu elewa utaumbuka muda si mrefu , facts tu na speed ya kazi katika kutatua kero ndio itakayo kubeba ,si maneno matamu na nahau za ajabuajabu.
Tanesco ndio roho ya uchumi wa nchi ,si sehemu ya porojo,"watch out"
Inaonekana hujui tatizo hasa la kukatika umeme ghafla baada ya hayati Magufuli kufariki na kuondolewa kwa management yote ya Tanesco.
Una majibu ya kijanjajanja sana kama ya waziri wako January Makamba, inaonekana mmebobea kwenye fani hii ya kulonga longa .
Nikwambie tu hapo kama umewekwa kwa mission maalumu elewa utaumbuka muda si mrefu , facts tu na speed ya kazi katika kutatua kero ndio itakayo kubeba ,si maneno matamu na nahau za ajabuajabu.
Tanesco ndio roho ya uchumi wa nchi ,si sehemu ya porojo,"watch out"