Kwahiyo mnashirikiana na Makamba kuhujumu shirika ?Mkuu nunua jenereta kazi ziende. Wauza majenereta tulipata hasara sana awamu iliyopita
Tumelamba garasa kama ni kwenye arobasitiniJanuary hata mimi nilijua kua tumepata waziri, ila kwa mihemko aliyoonesha kwa Mataragio, naamini pale tumepigwa hamna waziri kabisa
Mitano tena ccmMkuu uko arusha, sababu huku maeneo ya kjenge mwanamana toka udubui kitu hakipo kazi haziend,tunatzamana kama madume ya nyani.
Hakuna cha kumchafua mtu bali ni utendaji wake ndiyo unao muhukumu tu.Watu mmelipwa kiasi gani kumchafua?
Aisee kweli huyu jamaa sio huku kwetu tangu asubuh umeme umekata kdadekJanuary hata mimi nilijua kua tumepata waziri, ila kwa mihemko aliyoonesha kwa Mataragio, naamini pale tumepigwa hamna waziri kabisa
Kusema watu lazima waseme ndiyo maana kuna platform kama hapa jf.unadhani hizi kelele zitasaidia kumuondoa huyu waziri wa mchongo? tafuta mbadala kazi iendelee.
Kwanini iwe sasa baada ya waziri Kalemani kutoka wizarani?Binafsi siamini kuwa ni ntu wa dili na kukatika umeme ni mpango wa kusambaza majenereta.
Naamini hatoniprove wrong na hili suala litakuwa stable. Atashinda haka kavita ninakokafikiri anapitia.
Wacheni tena kuturudisha kwenye yaliyo pita yaani kila siku ange ange ange ange!!!Watu wapo pale Tanesco kwa mambo yao... January,Mafuru,Maharage,Nehemia ni lethal combination....
Nikuhakikishie JPM angekuwa hai hili jambo lingekuwa tofauti sana....
Personally nakubali kwenye usimamizi JPM was real deal.
Makamba mitano tenaBora nyie masaa huku kwetu ulikata jana saa moja asubuhi umerudi leo asubuhi.
Heri yako unayeishi maisha ya kutumia kibatari maana umeme huna shida naoSi muandamane nini kuongea huku nyuma ya keyboard..sasa hvi mbwa koko hayupo hamtapigwa
Kwanini usingempigia simu mama Samia akamteua huyu Muhongo?Tokea lini Kilaza kama January akafanikiwa kuongoza hiyo wizara. Samia alitakiwa amuweke Muhongo hapo.
Aisee umewaza sana kulitafuta jibu murua.Anachafuliwa anaambiwa?
Wakati yupo kwao bumbuli Hana cheo kuna mtu alikuwa anamtaja?
Watu mmelipwa kiasi gani kumchafua?
Watasema ni maagizo kutoka juuTanesco mbona wamo humu kwanini usiwatag walitolee ufafanuzi hili swala.
Yako majini..kujaTuatamkumbuka Kalemani. Majenereta yale yanakuja
upo sahihi bt pia tuandae plan B ajili ya kukabiliana na hili tatizo maana umeme kwa sasa ndo engine ya wajasiriamali alafu unazingua kishenzi na wahusika hata hawajali.Kusema watu lazima waseme ndiyo maana kuna platform kama hapa jf.
Walio anzisha hili jukwaa hawakuwa wajinga maana walijua kuwa kuna mambo lazima yasemwe nje ya mfumo wa serikali.