Jana kanifurahisha sana maneno 10.
Anaambiwa huyu meja kuwa hajafa kazimia.. yeye anasema nazi 100 za nini shughuri yenyewe ndogo hii, nazi mbili zinatosha kuungia maharage... ndo pale akajibiwa sio nazi ila alizirai huyo meja kunta. Asi nilicheka sana asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mm nimefungiwa umeme kama mwez hv umepita,sijahamia bado,ila huwa nanunua umeme wa elfu5 kila uishapo kwa ajili ya kuwashia taa za nje. Je nikitaka kujua kama nipo D1 ama sipo nafanyaje hapo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.