comments zako za matusi zinaonyesha ambavyo ujakomaa kiakili,,na kisicho niua kinanikomaza akili zaidi.. Na hakika haujui ukawa ni nini kiundani,, mfano mdogo Kama mbowe ameweza kutengua katiba ili aendelee kuwa mwenyekiti wa chama kwa miaka mingine kumi zaidi je akiwa RAIS ndo atakubali...