Recent content by MWANAMAKOROKOCHO

  1. M

    Edward Lowassa azidi kuwasaliti na kusalitiwa na wapambe wake!

    sina hakika sana kama wanachokifanya ni usaliti, maana hao wote walikuwa wajumbe wa NECT na ndo walioamu akumpigia kura ya ndiyo magufuli ili kumaliza mchakato wa kumpata mgombea baada ya mvutano wa muda mrefu. Hivyo wanachofanya nadhani ni kuonyesha kuwa ccm ni chama chao na sasa wanamsaport...
  2. M

    Lowassa ndani ya Monduli, ajiandikisha BVR

    Unaakili sana kijana uliyeka comment hii
  3. M

    Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

    Imani yako na Ikuponye.....
  4. M

    Kweli Mungu ni muweza wa yote?

    Mungu alimuumba binadamu kwa upendo na akamtofautisha na viumbe wengine wote kwa kumpatia AKILI, UFAHAMU kwa ajili ya kujitambua na kujitofautisha na viumbe wengine kama mijusi, mende na kereng'ende. Hivyo vitendo vya kuvaa mabomu na kujilipua ili kuua watu wengine au kuwafanyia watu wengine...
  5. M

    Dr. Emmanuel Nchimbi: Tunataka Rais, hatutaki mfano wa Rais...

    Nchimbi upo sawa, kwanza team lowasa mmehakikisha team Membe & jk hawatobozi 3 bora na kisha mmehakikisha wanawake hawachukui kitu. Hongera Magufuli kwa kuokota dodo chini ya mwarobaini maana haukukwa na ramani yoyote ya ikulu kilichokutokea ni kwamba " kifo cha tembo furaha ya mbwa mwitu"
  6. M

    Mgombea urais UKAWA

    comments zako za matusi zinaonyesha ambavyo ujakomaa kiakili,,na kisicho niua kinanikomaza akili zaidi.. Na hakika haujui ukawa ni nini kiundani,, mfano mdogo Kama mbowe ameweza kutengua katiba ili aendelee kuwa mwenyekiti wa chama kwa miaka mingine kumi zaidi je akiwa RAIS ndo atakubali...
  7. M

    Mgombea urais UKAWA

    Poa we nitusi uwezavyo,, ila utakubali maneno yangu ndani ya mwezi huu. ukwawa umoja wa vyama vyenye watu wabinafsi
  8. M

    Hii Ndiyo Tano Bora ya CCM

    Hoja siyo NAPE, Hoja ni A. ramadhan ndani ya chama. Hujaelewa comment kinahusu nini. Nahata kama in nape tayari yupo ndani ya chama na anakijua chama tofauti na Ramadhan amabaye ni sawa na mgombea binafsi ndani ya ccm
  9. M

    Mgombea urais UKAWA

    Macho & masikio ya Watanzania ( wana CCM & upinzani) yako Dodoma kuona na kusikia Chama cha Mapinduzi kinapitisha jina lipi katika kinyanjiro cha kwenda Magogoni. Mimi hili halinipi hofu maana mchakato unahusisha chama kimoja tu, ila wasiwasi wangu upo katika kusamabaratika kwa Umoja unaojiita...
  10. M

    Hii Ndiyo Tano Bora ya CCM

    Mkapa ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Makerere.Nafasi alizoshikilia zamani ni pamoja na kuwa afisa wa utawala huko Dodoma na Waziri wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu. Yeye pia aliongoza ujumbe wa Tanzania huko Marekani na alikuwa Waziri waMambo ya Nje kutoka 1977 hadi 1980 na kutoka 1984 hadi...
  11. M

    Hii Ndiyo Tano Bora ya CCM

    Augusto Ramadhan,, Je amewahi kushika nafasi yoyote ya uongozi ndani ya Chama cha CCM? Maana ccm itapitisha mtu anaejua chama hicho ili awe mwenyeketi wa chama na siyo kuwa rais pekee.
Back
Top Bottom