Mgombea urais UKAWA

Mgombea urais UKAWA

Macho & masikio ya Watanzania ( wana CCM & upinzani) yako Dodoma kuona na kusikia Chama cha Mapinduzi kinapitisha jina lipi katika kinyanjiro cha kwenda Magogoni.

Mimi hili halinipi hofu maana mchakato unahusisha chama kimoja tu, ila wasiwasi wangu upo katika kusamabaratika kwa Umoja unaojiita UKAWA.

Kwa maana sidhani kama Wana CUF bara na Zanzibar watakubali kipenzi chao Mh. Professor Ibrahim H. Lipumba asiwanie nafasi nyeti ya Urasi kwa elimu yake aliyonayo halafu abaki anaelea elea tu na wakati katika mikutano yake wafuasi wa CUF wanamuita kuwa ndiye Rais.

Kwa upande mwingine CHADEMA sidhani kama wanaweza kukubali mgombea nafasi hiyo nyeti hasitoke ndani ya Chama hicho wakati wanaimani wao ndiyo chama cha upinzani chenye nguvu kubwa na watu makini.

Wakati huo tayari NCCR-MAGEUZI wao wana sumu moyoni kwa kutoridhika na mgawanyo wa majimbo katika nafasi ya Ubunge.

Najua nitapata comments za mashambulizi ila ukweli ni kwamba UKAWA upo katika wakati mgumu sana katika nafasi ya urais na ukilinganisha kuwa viongozi wa vyama hivyo hawajawahi kuachia Madaraka ya Umwenyekiti na wengine wametengua vifungu vya katiba zao ili waendelee kuwa Wenyeviti wa miaka mingi zaidi.


@ Hakuna Mpango Kazi Mkubwa Duniani Kama Binadamu kupangilia Maisha Yake Mwenye@

Ukitaka kumkamata mwizi kirahisi mfukuze kimya kimya. Lakini ukianza kupiga kelele atapanic na kuongeza mbio hivyo hutomkamata kamwe
 
Nafikiri ingekuwa vema usubiri mchakato wa ccm upite uone kama mtabaki salama ndipo uhamie kuchambua hali ya ukawa....ccm itapona? Nasubiri kuona
 
kudadeki nakwambia lazima kinuke...yaani iko wazi kabisa wakishatoka huko kwenye mkutano wako ndio siku ambayo UKAWA inafiria kwa mbali...LIPUMBA toka 95 anautaka uraisi alafu leo kiboyaboya tu yule ----- aliekimbia Kanisa aje achukue nchi weeee hawezi kukubali kamwe nakwambia
 
Wewe bwabwa unawashwa au unatafuta bwana??
comments zako za matusi zinaonyesha ambavyo ujakomaa kiakili,,na kisicho niua kinanikomaza akili zaidi.. Na hakika haujui ukawa ni nini kiundani,, mfano mdogo Kama mbowe ameweza kutengua katiba ili aendelee kuwa mwenyekiti wa chama kwa miaka mingine kumi zaidi je akiwa RAIS ndo atakubali kuachia NCHI ? bila shaka atakuwa nkurunzinza. Kama ameshindwa kuwa mwaminifu katika jambo dogo je ataweza kuwa mwaminifu katka jambo kubwa?
 
Back
Top Bottom