bandu bandu
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,747
- 874
Wewe mbwa mbona na wewe unapenda kuisemea CCM kwan wew n msemaji wa CCM?usipende kumlopokea mwenzako kwa kumuita ngedere wew n MBWA wa mbowe
Wewe bwabwa unawashwa au unatafuta bwana??
Wewe mbwa mbona na wewe unapenda kuisemea CCM kwan wew n msemaji wa CCM?usipende kumlopokea mwenzako kwa kumuita ngedere wew n MBWA wa mbowe
Macho & masikio ya Watanzania ( wana CCM & upinzani) yako Dodoma kuona na kusikia Chama cha Mapinduzi kinapitisha jina lipi katika kinyanjiro cha kwenda Magogoni.
Mimi hili halinipi hofu maana mchakato unahusisha chama kimoja tu, ila wasiwasi wangu upo katika kusamabaratika kwa Umoja unaojiita UKAWA.
Kwa maana sidhani kama Wana CUF bara na Zanzibar watakubali kipenzi chao Mh. Professor Ibrahim H. Lipumba asiwanie nafasi nyeti ya Urasi kwa elimu yake aliyonayo halafu abaki anaelea elea tu na wakati katika mikutano yake wafuasi wa CUF wanamuita kuwa ndiye Rais.
Kwa upande mwingine CHADEMA sidhani kama wanaweza kukubali mgombea nafasi hiyo nyeti hasitoke ndani ya Chama hicho wakati wanaimani wao ndiyo chama cha upinzani chenye nguvu kubwa na watu makini.
Wakati huo tayari NCCR-MAGEUZI wao wana sumu moyoni kwa kutoridhika na mgawanyo wa majimbo katika nafasi ya Ubunge.
Najua nitapata comments za mashambulizi ila ukweli ni kwamba UKAWA upo katika wakati mgumu sana katika nafasi ya urais na ukilinganisha kuwa viongozi wa vyama hivyo hawajawahi kuachia Madaraka ya Umwenyekiti na wengine wametengua vifungu vya katiba zao ili waendelee kuwa Wenyeviti wa miaka mingi zaidi.
@ Hakuna Mpango Kazi Mkubwa Duniani Kama Binadamu kupangilia Maisha Yake Mwenye@
Kaa kimya ngedere wewe hujui lolote
Ukawa lazima utapasuka
Poa we nitusi uwezavyo,, ila utakubali maneno yangu ndani ya mwezi huu. ukwawa umoja wa vyama vyenye watu wabinafsihao wamefika mmojawapo huyu
comments zako za matusi zinaonyesha ambavyo ujakomaa kiakili,,na kisicho niua kinanikomaza akili zaidi.. Na hakika haujui ukawa ni nini kiundani,, mfano mdogo Kama mbowe ameweza kutengua katiba ili aendelee kuwa mwenyekiti wa chama kwa miaka mingine kumi zaidi je akiwa RAIS ndo atakubali kuachia NCHI ? bila shaka atakuwa nkurunzinza. Kama ameshindwa kuwa mwaminifu katika jambo dogo je ataweza kuwa mwaminifu katka jambo kubwa?Wewe bwabwa unawashwa au unatafuta bwana??