Recent content by mwanalizombe

  1. M

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Wakuu toyota raum yangu, taa ya handbrake haiwaki ila hand brake inafanya kazi kama kawaida,hilo tatizoa taa linaweza tokana na nini?
  2. M

    nahitaji kufundisha Land survey/Geomatics/Geoinformatics

    Kasome msc petroleum itakulipa, geomatics hailipi mkuu
  3. M

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Edo hayumo wakuu, napa namwona anaongea na wana habari, halmashauri kuu na mkutano mkuu ni kesho
  4. M

    New Raum new model for sale

    Cc 1980?
  5. M

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    mshana jr au mwingine mwenye uzoefu nataka kuagiza raum, ila watu wanasema old model ni imara kuliko new model, please mwenye kujua haya magari vizuri, na matatizo yake,
  6. M

    Hawa ndio mastar wa 5 wa bongo ambao wametoka familia za kishua

    Hata mie wakishua, mzee Dg idaran fulani enzi za mwinyi, baloz usa, waziri kipindi cha ben, nimezaliwa usa, maisha bado nayaona magumu tu, ushua gan unazungumzia mtoa uzi😆😆
  7. M

    Le mutuz awashukia wanaomlaumu kuhusu nyumba ya mama yake

    Mtanzania alie kaa ulaya miaka 30, na ana degree tatu, mtoto wa former pm
  8. M

    Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz

    You what what, le mbembez, leo nimeelewa wakat ipyana anazikwa kwann wazee walisema malecela hana mtoto wa kiume mwingine😂😂😂😂
  9. M

    Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz

    Mwenye kujua chochote, hawa watoto wa malecela, akina mwele, na yule mdogo wake, yule marehemu aliekuwa uvccm dar, na mwingine yule wa point tatu, ni tumbo mmoja na le mutuz?maana kama hawaendan hivi?
  10. M

    Je, kwa hili niendelee kuwa mpole au?

    Ue bado hamjaanza?????
  11. M

    Yaliyojiri formsix Leaverz JKT

    Wahi haraka, karibu watanyanganywa simu
  12. M

    Engineering Geology Vs Agricultural Engineering

    Loan utapata , nikushauri kwa petroleum geology tena kuna sponsor hawa jamaa wa makampun ya mafuta, kwa mfano mwaka Jana wanafunz kum wa petroleum walipewa ufazili na swala, changamkia fursa kaka, hiki ni kipindi cha geology , c it tena,
Back
Top Bottom