mshana jr au mwingine mwenye uzoefu nataka kuagiza raum, ila watu wanasema old model ni imara kuliko new model, please mwenye kujua haya magari vizuri, na matatizo yake,
Hata mie wakishua, mzee Dg idaran fulani enzi za mwinyi, baloz usa, waziri kipindi cha ben, nimezaliwa usa, maisha bado nayaona magumu tu, ushua gan unazungumzia mtoa uzi😆😆
You what what, le mbembez, leo nimeelewa wakat ipyana anazikwa kwann wazee walisema malecela hana mtoto wa kiume mwingine😂😂😂😂
Mwenye kujua chochote, hawa watoto wa malecela, akina mwele, na yule mdogo wake, yule marehemu aliekuwa uvccm dar, na mwingine yule wa point tatu, ni tumbo mmoja na le mutuz?maana kama hawaendan hivi?
Loan utapata , nikushauri kwa petroleum geology tena kuna sponsor hawa jamaa wa makampun ya mafuta, kwa mfano mwaka Jana wanafunz kum wa petroleum walipewa ufazili na swala, changamkia fursa kaka, hiki ni kipindi cha geology , c it tena,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.