Nimetimiza miaka 5 Jf bila ban

Nimetimiza miaka 5 Jf bila ban

Kweli hongera yako maana mimi ID yangu nyingne ilivyofungiwa ndo nikasajili hii, na yenyewe kabla haijafika mwezi ikala ban teh teh teh....
 
Nipeni hongera huu mwaka wa 5 JF na sijawahi kupewa warning au ban.

Hongera sana

Sikuwahi kutarajia ban jf ila kuna mtu alinikeraaaaa!!!
Nikasema huyu leo napaa nae liwalo na liwe.
Nilikula ban ila roho ilikua nyeupeee
 
Hongera sana

Sikuwahi kutarajia ban jf ila kuna mtu alinikeraaaaa!!!
Nikasema huyu leo napaa nae liwalo na liwe.
Nilikula ban ila roho ilikua nyeupeee
kweli tunatofautiana kumbe ukila naye sahau roho inabaki nyeupe
 
Kweli hongera yako maana mimi ID yangu nyingne ilivyofungiwa ndo nikasajili hii, na yenyewe kabla haijafika mwezi ikala ban teh teh teh....

kwahiyo hiyo nyingine mpaka leo ni banned?
 
Kuna mtu wanamuita binamu yaani ikipita wiki bila kupewa ban anashangilia
 
Hongera kwa kubadili badili jina la ID yako...

Hilo la Ban sikupi kwa kuwa ni wengi ambao tokea tujiunge hapa hatujawahi tupwa lupango...
 
Hongera kwa kubadili badili jina la ID yako...

Hilo la Ban sikupi kwa kuwa ni wengi ambao tokea tujiunge hapa hatujawahi tupwa lupango...

mkuu hongera kama hujawahi kupata ban
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom