Wanajamii hapa chakujadili sio mavazi ila 2jadili Taifa letu limefaidika nn au limepata hasara gan juu ya hio safari.Binafsi ckuona sababu ya pinda kwenda kwenye hio sherehe ya kumuapisha papa kwani tayari kadinali pengo alisha wawakilisha wakatoliki wenzie,sasa nikimuuliza mh Pinda vatcan...
mimi maandamano sion km ndio njia sahihi ya kupata hayo maji,chamsingi mh Mnyika aendelee kufuatilia kwa nguvu zote juu ya swalahili.Pia tatizo la maji c 2 tatizo ndani ya jimbo la ubungo bali hat majmbo mengn hapa Dar.ccm wanajua kupatikana kwamaji ktk jmbo la ubungo itakua ni sifa kwa myika...
Jamani kwan tuna lumbana nn,chuo ckinaitwa chuo kikuu cha kiislam morogoro!Pia waislamu waliamua kujitoa katika udahili wa wanafunzi kupitia TCU ili kupata idadi kubwa ya wasomi wakiislam nchini,kwan inaonekana kwamba katika vyuo vingine nchini idadi ya wanafunzi wa kiislam niwachache mno...
Sawa mr makavu laivu,nakushkuru sn kwa huo mchanganuo wako,kiukweli mambo kama haya hua yanafanywa sana na serikali zilizo shindwa kuongoza kwa kuleta maendeleo kwa raia wake ili kudhoofisha upinzani,ila kwa hli tusiongee mengi sn kwan haki itapatikana.ila km kweli cdm imeshiriki kwa namna moja...
Hapana wakuu tusiwe na jazba,binafsi nimeiona na kuisikiliza kwa makini,kimsingi polisi hawana kosa lolote kwan haiko poa kwa usalama wa waandishi wa habari,ila tunaomba sheria ichukue nafasi na sio propaganda.Tuacheni ushabiki wa vyama na tuangalie usalama wa taifa letu!
Hapana wakuu tusiwe na jazba,binafsi nimeiona na kuisikiliza kwa makini,kimsingi polisi hawana kosa lolote kwan haiko poa kwa usalama wa waandishi wa habari,ila tunaomba sheria ichukue nafasi na sio propaganda.Tuacheni ushabiki wa vyama na tuangalie usalama wa taifa letu!
Sisi kama watanzania hatuna budi kujali na kufuata maadili,kiukweli baadhi ya wanawake wamekua wakivaa nguo ambazo zinaruhusu m2 kuona visivyofaa kuonekana,kama vile kuonyesha mapaja au kitovu,jamani tusiendekeze utandawazi.
Kiukweli hapo Islamic foundation wanapaswa kupongezwa na taasisi zingine ziige hayo,tuacheni kuangalia sana dini zetu bali kama mtu au taasisi yoyote inatoa mchango kwenye jamii tusisite kusema kwan dina zote zinahimiza upendo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.