Dini tatizo

Dini tatizo

aljun raj

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
203
Reaction score
46
Daah dada angu ametokea kumpenda mvulana mkristu na ssi waislam, kila siku analia na kuniambia nimpe ushauri na mimi sitaki mdogo wangu alie kisa mapenzi
so nimekuja kuomba msaada wenu wanajamii nimpeushauli gan mdgo wangu uyu aitwae AMINA!!
 
Mapenzi haya chagui Dini wala kabila...Kama wamepedena kwa dhati sioni tatizo....

We mpe go on..
 
Daah dada angu ametokea kumpenda mvulana mkristu na ssi waislam, kila siku analia na kuniambia nimpe ushauri na mimi sitaki mdogo wangu alie kisa mapenzi
so nimekuja kuomba msaada wenu wanajamii nimpeushauli gan mdgo wangu uyu aitwae AMINA!!
Alikuwa anaomba ushauri wa nini? Hivi alimleta na kumtambulisha kwenu? Wazazi wenu walimkataa? Au anaogopa kumtambulisha kwenu kwa kuwa anajua imani yake na yenu ni tofauti? Wazazi wenu wana msimamo gani na imani tofauti za kidini? :dizzy:
 
peleka fb utapata wachangiaji wengi
 
Mwambie aende Somalia au Afghanistan atapata muislamu mwenzie.
 
sijaelewa kwani waislam wamekatazwa kumpenda mkristo?
 
Na hiloooo ndio tatizo lenu kubwaaa..udiniiiiii...yan mtu akishakuwa sio wa dini yenu mnamwona kama kima au ngedere hafai kuoa/kuolewa na dini yenu.

back to topick....mwambie awamwage wazazi ajitegeshee mimba awaletee wajukuu wa huyooo mkristo walee babu na bibi..na shule wawapeleke tena sio za kata...na kama haitoshiii akijisikia kuliwa uroda amchek mshua coz ni mwisilam mwenzie.....ahahahahahaha.
 
KUna mtu alisema vagina comes from varieties, and penis comes from plural.
Kwa hiyo penis moja inahitaji varieties of vagina.
Huo ulikuwa ni mtazamo wake wa kuhalalisha na kutete uzinzi wake.
 
Ajaribu kuwaelimisha wazazi kwamba yeye anenda kushi na huyo kama mume na haendi kuungana naye ili wakahubiri injili.

Na yeye ndiye atakaye ishi na huyo mume na si wao.Wajaribu kumwelewa kwani anamiaka chini ya 18?
 
Daah dada angu ametokea kumpenda mvulana mkristu na ssi waislam, kila siku analia na kuniambia nimpe ushauri na mimi sitaki mdogo wangu alie kisa mapenzi
so nimekuja kuomba msaada wenu wanajamii nimpeushauli gan mdgo wangu uyu aitwae AMINA!!

Mimi maoni yangu ni yafuatayo;
{1}wawili kupendana kwa dhati.
{2}wazazi wa pande mbili kuridhia(kukubali)..ndio ndoa huwa na baraka...na iwe ndoa sio kuchakachuana...maana vijana wa kidigital na mapenzi ya BBM...ni hayo tu...by sina habar!
 
Mwambie akubali kubadili dini!

Daah dada angu ametokea kumpenda mvulana mkristu na ssi waislam, kila siku analia na kuniambia nimpe ushauri na mimi sitaki mdogo wangu alie kisa mapenzi
so nimekuja kuomba msaada wenu wanajamii nimpeushauli gan mdgo wangu uyu aitwae AMINA!!
 
Kwanza pole kwa sister etu kwani hata tukimshauri vipi dingi na mother ndo kikwazo na huwa inasumbu sana akomae na waze labd watamuelew siku moja
 
kama kuna jambo gumu ni hilo. Kuna wazazi hata waeleweshwe vipi hawawezi elewa, hata ulete wazee na mizimu ya mababu hawawezi kukubari.
Nadhani itabidi achague kuishi na mpenzi au wazazi wake maana navyojua hapa kama ni swala 5... Sijui kama kitaeleweka.

Religions devide us instead of uniting us.
 
Back
Top Bottom