Recent content by MWANAHARAKAtii

  1. M

    Mh. Zitto vs Mh. Mbilinyi mmmh!

    Ana hasira na project ya maleria mr.sugu,kwa hapo amechemka sana asilete siasa na burudani mabif yao ni huko huko,awakataze wananch wake wasiende fiesta si kukataza clouds wasifanye show,ye nan kwani??
  2. M

    Kumbukumbu ya kuzaliwa kwa TANU

    Tunasherekea kumbukumbu ya kuzaliwa TANU chama kilichotupatia uhuru na sasa tupo na chama cha mapinduzi ccm iliyotupatia maendeleo mengi ya barabara,shule,hospital,maji,vyuo.ccm inayo mthamini mkulima na mfanyakazi! MUNGU IBARIKI TANZANIA,UNGU IBARIKI CCM ,MUNGU MBARIKI RAIS WETU MH.JAKAYA...
  3. M

    Halima Mdee amjia juu mwenyekiti na kubishana naye: Live Bungeni jioni

    Kelele za chura hizo wana cdm tumewazoea sana kwani mmeanza leo kutukana?mwacheni mtei na chama chake wandugu aliyeweza kufanya ufisadi kufuru na kuanzisha cdm leo mnatapakaa barabarani bila aibu mkipinga ufisadi whle chama chenu kilianzishwa kifisadi kwa wiz wa hela ya mtanzania looh
  4. M

    NAPE fungua hapa kuna zawadi yako

    Jf bwanaa kwahiyo mmeona hyo ni habari ya kusisimua?@saint hujaacha tuu umbea wa fb?
  5. M

    Chadema imchunguze Naibu Katibu Mkuu wake

    Zitto he's smart na anakila sababu ya kumpa sapot mtu ampendaye coni ubaya wowote wa yeye kumpatia hzo fedha,otherwise ni majungu tu ya kina lema na mbowe wanaofanya fitna.
  6. M

    Idd Azzan amlipua Shyrose Bhanji kuhusu kujihusisha CHADEMA...!

    Hahaha ndo yale ya kina mpendazoe yatamkuta shy,alianza hayo baada ya kutemwa kino,kazi ni kwako
  7. M

    Naona mmechakachua acc yangu

    Niliwashangaa mlio andika jana na kunishambulia kwa u junior wangu ila ukweli ni kwamba wamechakachua my first acc,kama hamtaki watu wa ccm humu ndan mseme....KIDUMU CHAMA TAWALA
  8. M

    Je hii ndiyo democrasia?

    Vijana wasomi kuacha taaluma zao na kufuata mkumbo wa siasa ni kupanuka kwa democrasia ama ni ulimbukeni wa kuiga??
  9. M

    TAMKO la UVCCM Arusha 25/5/2011 SOMA UJIONEE!

    jambo usilolijua sawa na usiku wa giza.......ushabuki wa wote nyie ni kwasababu mpo side b ya chama tawala.....tamko limetulia...kidumu chama tawala...viva uvccm arusha
  10. M

    Dr. Slaa, Upande wa Pili

    haha dr.anatamani pia mtu na shemejie
  11. M

    How to use JamiiForums effectively

    hiiiiiiiiiiiiiiiii nice to be here.....
Back
Top Bottom