Hizi tuhuma zilitolewa wapi na nani?
Hebu fuatilia thread hizi uunganishe dotsHizi tuhuma zilitolewa wapi na nani?
Hii akili ya kumshutumu mleta hoja, mnalimaliza Taifa hili. Yani hata kama zitto ni mjinga zile namba za simu mlizotoa mkadai alikuwa anaongea na usalama wa taifa, bado ataendelea kutuma rushwa kwa m-pesa? Mhhhmmmm
Pitia hii thread
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-rushwa-bavicha-zipelekwe-takukuru-zitto.html
mtu wa nane kuchangia utaona hapo.
Wakuu bila kuangalia tuhuma,Zitto ni kiongozi mzito ndani ya cdm,kwanini asiwasiliane na wenzake kuweka mikakati ya kusafisha hili.anasema kuandika barua utadhani mwanachama wa kawaida! Na anasema hayo magazetini! Hivi slaa akiona jambo cdm amuandikie mbowe barua? Tuache kuzunguka mbuyu kuna tatizo kubwa kwa Zitto na tumeshasema sana.Zitto kila anachofanya nyuma yake kuna personal motive.Pitia hii thread
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-rushwa-bavicha-zipelekwe-takukuru-zitto.html
mtu wa nane kuchangia utaona hapo.