Kumekuwa na maneno tofauti kuhusu oil za Castrol na Oryx sasa naomba kujuzwa kama ni kweli oil za Castrol zinaenda kilometers 5000 na kama ni kweli za Oryx zinaenda kilometers 8000.
Ahsanteni waungwana
Natafuta Hotuba ya Mzee Ally Hassan Mwinyi, wakati anaaga alitoa hiyo hotuba mbele ya Nyerere na Mkapa. Neno zuri ninalolikumbuka ni kwamba alikuambia Mkapa; ngoja na mimi nikuusie kama mimi nilivyousiwa.
Natafuta pia Hotuba ya Nyerere ile aliosema Wazee wa Dar ndio waliomfundisha Kiswahili...
Nakifuatilia nione misingi yake.
Sera za kila chama ni nzuri tatizo ni utekelezaji na weledi wa viongozi
Vyama vingi vimekuwa vikifa nguvu kwa kufanywa mali ya mtu au watu fulani.
Chama kiwe taasisi kikubali changamoto kitoe fursa kwa wote bila kujali kanda, udini na makabila na matabaka...
Kuna watu wanachanganya kutoa msaada na kujitangaza.
Kuna watu wanatoa zaidi ya mengi na hawajitangazi na dini ndio inataka hivyo unatoa mkono wa kulia hata wa kushoto haujui.
Naona sasa Mh wenu wa itv ana bifu binafsi na muhongo baada ya muhongo kuhalalisha ukatwaji wa umeme hadi kwenye ukanda...
Ifike wakati chadema wajibu hoja.
Wajisahihishe na sio kila mtu kumuona muasi.
Hata vijana wa chadema tumekuwa wa ajabu sana ikitolewa hoja yoyote nzito tunatoa matusi tu badala ya kuibu na kumuona alietoa hoja hafai.
Muhimu kuanzia sasa tuwe tunajibu hoja.
Yaani sisi maelezo yetu yote ni mabaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.