Recent content by mwanaharakati85

  1. mwanaharakati85

    msaada wako kimawazo

    Thanks TK)x2 waweza kunifafanulia kidogo namba 3 hadi 5 zimenipa shida kidogo hizo nashukuru kwa mawazo yako ndugu yangu
  2. mwanaharakati85

    msaada wako kimawazo

    my professional is based on business administration my friend
  3. mwanaharakati85

    Sirikali ... Tanzania: Mineral Revenue Secrecy Fails Dar es Salaam in Global Ranking

    inasikitisha kwa kweli, inabidi atafutwe wa kumvisha paka kengele sasa this is too much jamani, tumekuwa kama mabwege kwa resources zetu wenyewe ambazo zinawatajirisha viongozi waliomadarakani
  4. mwanaharakati85

    Re: Msaada wenu jamani

    thanks mkuu wangu haya matatizo niko nayo kwa mda wa miaka mitatu sasa, @ moment ninakimbilia 30, na kuhusu skini problems siruhusiwi kula samaki pekee huwa ninasumbuliwa na matatizo ya ngozi ndugu yangu niko dar mda huu nashukuru kwa msaada wako mkuu wangu
  5. mwanaharakati85

    How to convince your man to get circumcised

    hapa human rights inakuwa imesahaulika............. but ni wazo zuri kama atakuwa tayari sie tumtafutie huyo tandu
  6. mwanaharakati85

    LESENI MPYA SH.40000/= Pesa nyingi hivyo za nini?

    Wakuu tusiwe wepesi wa kulauma nadhani kwa hili serikali imajitahidi kufikiria, maana zile za mwanzo zilikuwa zinatia aibu bwana ila kwa suala la gharama nami pia sikubaliani nalo nadhani kuna kigogo anachangiwa kupitia gharama hizi, kikubwa nadhani sekta ya usalama pamoja na mapungufu yao...
  7. mwanaharakati85

    Kibuti hiki ni balaa

    ukubwa dawa au sio
  8. mwanaharakati85

    GE2010 REDET & Synovate hamtaweza kuzuia mabadiliko...

    Dah bongo yetu hiyo ukishangaa ya REDET utaona ya SYNOVATE
  9. mwanaharakati85

    Timu hii itafungiwa kwa muda wa miaka 5 kuanzia 31 Okt 2010?

    Dah imekaa njema hiyo kiongozi:smile-big:
  10. mwanaharakati85

    Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

    mkuu hapo umesema kitu cha msingi ambacho kinagusa aslimia kubwa ya watu wanaotuzunguka ila kuna issue moja inatokea sana nchi za wenzetu tabia ya wanaume kuongeza uume wewe unaiongeleaje hii?
Back
Top Bottom