Azania Bank tawi la Mwenge walinikopesha ml.35 mwaka 2011 na dhamana yangu ilikuwa mshahara ofisini. Baada ya mwezi mmoja muajiri akaniletea za kuleta nikaondoka kazini bila hata kuaga nikasepa. Mhaya mmoja wa hiyo Bank akaanza kunipigia simu nikupe,nikakwambia kama niliweka dhamana nyumba au...
Una UPUMBAVU sana,sasa kumuanika Mama yako HAPPINESS MWAITENDA na porojo nyiiingi sijui mtoto wa nani kulikusaidia nini??angekuwa mtoto au ndugu wa hao wakubwa uliowataja angeishia standard seven??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.