Inaonekana sijui umelewa pombe au umejitoa akili makusudi au aliyekulipa amekuzidishia hakuna mpzn anaepinga kisomwa mswada ila tunachotaka kusiwe na haraka tusibili bunge lijalo ili tuupitie na tuelewe haraka ya nn
Simba chawene unawai nn baba hiyo wizara nafikili kunamatatizo au mnataka tn % zenu kabla hamjaondoka? Mbona nyerere aligoma kuchimba madini wkt alijua yapo
Ndoa nyingi zina hiyo shida na hiki ndo chazo cha michepuko
Wengine wanasema haya madawa ya uzaz wa mpango yanawapotezea hamu kabisa ya tendo la ndoa kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.