Recent content by mwanachamahuru

  1. M

    Chaguo la CCM katika urais aongezewa ulinzi

    Mchezo wa kitoto kabisa eti donge donge
  2. M

    Muswada wa Sheria ya Mafuta na Gesi: Wapinzani Wanafahamu Ngoma Wanayoicheza?

    Inaonekana sijui umelewa pombe au umejitoa akili makusudi au aliyekulipa amekuzidishia hakuna mpzn anaepinga kisomwa mswada ila tunachotaka kusiwe na haraka tusibili bunge lijalo ili tuupitie na tuelewe haraka ya nn
  3. M

    Bunge laahirishwa ghafla tena, Wabunge 11 wa Upinzani wahojiwa na Kamati ya Maadili

    Simba chawene unawai nn baba hiyo wizara nafikili kunamatatizo au mnataka tn % zenu kabla hamjaondoka? Mbona nyerere aligoma kuchimba madini wkt alijua yapo
  4. M

    Bunge laahirishwa ghafla tena, Wabunge 11 wa Upinzani wahojiwa na Kamati ya Maadili

    Hivi hii halaka ya nn Nimegundua lazima kunawatu wanataka kupiga dilli sio kawaida mbona spika anakomalia hvi
  5. M

    Maendeleo ya afya ya Waziri Mkuu mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa

    Team nan ww ?? Mbona leo nimemuona ddma kweli ni upumbavu unapotumwa na uongezi akili zako ()
  6. M

    Ali Kiba kataja sababu za kwanini hamfollow mtu Instagram

    Hajitambui huyu dogo je na watu wake nao wakaacha kimfollow ??
  7. M

    Mwigulu Arudisha Fomu Ya Kuomba Ridhaa na Kutoa Neno Lenye Busara Kubwa

    Huyu hpna leo maish yamepanda kwa ajili yao
  8. M

    Msaada: Mkanganyiko kwenye mkataba wangu wa ajira

    Hv huo mshahara unakaa kwenu??
  9. M

    Mke wangu namtongoza upya kila siku

    Ndoa nyingi zina hiyo shida na hiki ndo chazo cha michepuko Wengine wanasema haya madawa ya uzaz wa mpango yanawapotezea hamu kabisa ya tendo la ndoa kabisa
  10. M

    Mbinu chafu za CCM uandikishaji BVR hizi hapa.!

    Pumba tupu watu wanapenda kubwabwaja sana zoez limepita mwanza sijaoma kisa kama hicho watu wote wamehudumiwa sawa
  11. M

    Toyota IST for sale

    Mil. Nne cash upo tayali?
  12. M

    Ali Kiba atimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapewa aishi

    Kumbe diomond anamzidi hadi kipato?? Team kiba mpeni hisani jmn atagongea nyumba hdi lini?
Back
Top Bottom