Tahadhari: Barabarani toka Moro - Chalinze

Tahadhari: Barabarani toka Moro - Chalinze

kwenyevambulance hapo uongo

labda ni ambulance ambayo ndio inahamishwa kituo say kutoka morogoro inapelekwa tumbi,au ambulance binafsi na haina mgonjwa wala uthibitisho kuwa inaenda kuchukua mgonjwa!hapo haipaswi kupinda sheria inapaswa itembee kama magari mengine!lakini pia hicho ndicho mtoa mada alichoona kwanini upinge maelezo yake?yeye kaona ambulance inapigwa faini na kasema alichoona,ulitaka aseme daladala wakati yeye kaona ambulance?
 
Tungewapa traffic likizo ya walau miezi mitatu halafu JWTZ wangeshika hii kazi kwa muda huo ili kujenga nidhamu na uzalendo kwa madereva. Maana Bongo hatufuati sheria bila shuruti.

Kwan JWTZ watafanya nn?
 
Acha woga brother... zile nguo tu. hata wewe ukitaka unavaa

Najua ya kwamba akili ni nywele wengine wanazo na wengine hawana wanavaa mawigi. Sijasema nawaogopa na sijaongelea magwanda. Ningesema kapite kwenye duka lenye magwanda ya JWTZ sawa lakini nimegusia sehemu yenye watu wanaosimamia nidhamu na sheria kwenye maeneo yao. Labda tumepishana kwenye weledi tu mkuu. Nisamehe kwa hilo.
 
kzba

ni kweli hawataki rushwa, lakini tujiulize hizo wanazopigisha faini wanazipeleka wapi, matumizi yake ni yepi\/ na tutashindwaje kuamini yale yanayosemekana kuwa vile vitabu walivyonavyo ni vitabu feki hivyo wewe utajigamba kwamba hujatoa rushwa na wao wamekataa rushwa kumbe wamekukatia kitabu feki ambacho wewe hautafuatilia na ile hela yako wameiweka mfukoni kwenda kugawana na RTO baadaye. think about it. dawa yake waambie utakuja kulipia ofisini ili upate risiti. sio kitu cha kawaida traffic wa tz kukataa rushwa, akikataa ujue anakupa risiti toka kitabu feki.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo ni hawa law enforcers wetu. Wangesimamia sheria, wananchi tungeshika adabu muda mrefu.
Wiki jana nimeshuhudia trafiki akiipokea rushwa ya sh. 1000 (elfu moja)! Ni aibu kwa jeshi la polisi!

Elfu moja ndogo wakati yeye anakusanya kwa magari zaidi ya mia kwa siku.!
 
Najua ya kwamba akili ni nywele wengine wanazo na wengine hawana wanavaa mawigi. Sijasema nawaogopa na sijaongelea magwanda. Ningesema kapite kwenye duka lenye magwanda ya JWTZ sawa lakini nimegusia sehemu yenye watu wanaosimamia nidhamu na sheria kwenye maeneo yao. Labda tumepishana kwenye weledi tu mkuu. Nisamehe kwa hilo.

Yaishe joh.. mipasho cwez
 
wanasamisha ambulance??wana akili au??anyway nilichojifunza kwa kusafiri na private car umbali mrefu in kuwasiliana na malori na mabasi juu ya uwepo wa traffic.hamna basis linalotembea kwa mwendo wa Kobe kwahiyo ukikuta scenario hiyo jua Mbele kuna soo
 
Ukiwa barabara kubwa lazima uangalie wenye mabasi wanavyoenda....ukiwa mwehu na mgeni wa road Hizo lazima Ile kwako....
 
hizo kamera zimefungwa wapi ?. Wewe umekumbwa na tochi ZA kawaida ukuwa makini teknorojia hiyo ya kamera zinazojiendesha kwa bongo bado kidogo mkuu.
 
kzba

Umefanya vema kutuhabarisha ukizingatia barabara ya chalinze - Moro inahamasisha kutimua mbio, lingine kama hilo ni utaratibu ambao SUMATRA wanaendelea nao hasa maeneo ya chalinze ambapo nimeshuhudia abiria waliokuwa wamesimama kwenye magari yaliyojaa kupandishwa bodaboda na kuvuka eneo walilopo SUMATRA hatimaye kupanda tena baadae maana Gari linalokamatwa kwa kujaza abiria inasemekana hupigwa faini isiyopungua 300,000/= Hivyo wale wenzangu wanaolazimika kupanda magari yaliyojaa walijue hili
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom