Dunia ipo kasi sana,sisi ndo tunagundua mafuta,kama china na dunia ya kwanza wanaanza magari ya umeme na wengine watafuata soko la mafuta si litakuwa kwa nissan patrol nyeupe tu.
Nawakumbusha tu pindi la history baada ya USSR(URUSI ya leo) kumeguka,inchi tegemezi ikiwamo Tanzania(ambayo ilikuwa katika NAM) zilibaki na option moja tu ya kuomba misaada,WESTERN BLOCK led by the US. Matatizo haya ya leo jana na kesho yalianzia hapo kwa sababu ili upate misaada kuna...
ukishakubali uteuzi wa kwenda kutekeleza ilani ya ccm upinzani umeuvua na ndio maana mama hapo kakabidhiwa ilani though ni tofauti na ukichaguliwa ubunge ktk zile nafasi 10 za raisi.
wazungu kiboko sana,hasa kubwa lao USA....just wondering y now after trump visited the middle east,not coincidence kumbuka pia wazungu walipinga san Qatar kupewa world cup 2022 kwa kulipiza kisasi wakafanya figisu wakamngoa Blatter
ebana umesema unashugulikia ili forex trading iwe legal bongo(that's meas now ni illigal) lakini bank za kibongo unasema zinafanya hii mambo kwa siri adi wafanyakazi wa bank nao adi kujua ni inshu,inakuwaje hapo? inamaana zinafanya illegal business,ww inaonekana utakuwa umefanya SA coz naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.