Katuni ililenga kuonesha jinsi bunge lilivyokuwa limezidi kwa matusi na maneno 'mbofumbofu', badala ya kujadili hoja za msingi. Watu wasikwepe kukosolewa kwa mwanvuli wa mahusiano ya kidiplomasia!Pamoja na yote, mchora katuni, 'Gado',Mwampemba ni Mtanzania anayefanya shughuliza zake Kenya!
Hii ni fedheha kwa tasnia ya habari...yaani maneno meeengi yooote hayo bila hoja yoyote ya maana!Kweli Tanzania yetu ni zaidi ya tuijuavyo...we are lost!
Nimemsikiliza jana kupitia ITV Esther Wassira, ni kweli kabisa kwamba anajenga hoja, ana haiba ya kumiliki jukwaa na hata anaonesha anachokiongea anakimaanisha toka moyoni (Kumbuka kwamba wakati akiongea, ndio wakati huo huo Kikwete alikuwa akiongea kwenye TBC akiwa Shinyanga). Mwanzoni hapa...
Maajabu hayataisha Tanzania
Kutoka lile la jamaa 'anayetawala' hivi sasa, na hao wengine ambao watetezi wa kila aina hawakosi humu. Hivi sasa tena kumbe kuna wengine,tena waliojiunga humu specifically kwa kazi hii mpya tena, ya kumpamba huyo wa kutoka UN...
Hebu tuacheni ifikie mahali...
Profiles zake...kweli you can't trust most of our politicians!regardless of their 'profiles'
Janet Mbene - Tanzania | LinkedIn
https://profiles.google.com/105008091061723175789#105008091061723175789/about
Senior Fellow: Janet Mbene
In most times, if not always, I salute and appreciate your analysis Mchambuzi; you have always deserved my respect!Btw, tofauti nyingine kubwa (bila shaka umeigusia katika maeneo baadhi) ni tofauti ya nyakati tulizopo, tuko katika kipindi ambacho asilimia kubwa ya watu at least 'wana uelewa' wa...
Ukiunganisha nukta (when you connect dots), kuna kila sababu ya kuamini kuwa Dr. Slaa alikuwa target!Lakini maskini hasira zote (baada ya kuikosa target)zikahamia kwa waandishi!DUNIANI HUMU HATARI KWELI KWELI!
Samahani lakini, sipendi kuwa personal katika kujadili issues, ila kwa hili naomba niulize: Hivi Mjengwa ulisomea wapi na kwa hatua(level)ipi uandishi wa habari?i.e. una diploma, una degree, cheti au ni wale waandishi wanaojigamba wameingia kwenye fani kwasababu ya kipaji(talent)?kutoka hapa...
Mjitahidi kuwa wafuatiliaji wa mambo(au mfanye utafiti kidogo tu) kabla ya kuongea..Makene ni Afisa habari wa CDM,anafanya kazi ofisi ya Mkurugenzi (Mnyika),tena siku nyingi tu; hata humu JF inajulikana, nashangaa sijui wewe ulikuwa wapi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.