Recent content by mwana wa mtu

  1. mwana wa mtu

    Hali tete CCM Bukoba, Madiwani wamgeuka Kikwete, wafanya kinyume na maamuzi yake

    Niliwahi kusikia fununu kuwa huyo Meya sio Mtanzania (sijui Mrwanda/Mganda), ukweli wa hizo fununu mnaojua vizuri haya mambo ukoje?!
  2. mwana wa mtu

    Sitta alaani katuni ya Bunge iliyochorwa Kenya...

    Katuni ililenga kuonesha jinsi bunge lilivyokuwa limezidi kwa matusi na maneno 'mbofumbofu', badala ya kujadili hoja za msingi. Watu wasikwepe kukosolewa kwa mwanvuli wa mahusiano ya kidiplomasia!Pamoja na yote, mchora katuni, 'Gado',Mwampemba ni Mtanzania anayefanya shughuliza zake Kenya!
  3. mwana wa mtu

    Hebu jikumbushe kikosi kazi hiki...

    Ndugu Ringo Edmund, Pius Ng'wandu hajatangulia mbele ya haki, bado ni mzima kabisa wa afya!
  4. mwana wa mtu

    RAI: 2015 ni kati ya Lowassa, Zitto vinginevyo vyama vitayumba

    Hii ni fedheha kwa tasnia ya habari...yaani maneno meeengi yooote hayo bila hoja yoyote ya maana!Kweli Tanzania yetu ni zaidi ya tuijuavyo...we are lost!
  5. mwana wa mtu

    Tamko la JWTZ juu ya picha ya Lema na Mwanajeshi katika Mwananchi la Leo

    Kama atakuwa ni 'mwanajeshi feki', na kama viongozi wa CDM walilijua hilo, then ni kweli we have a very long way to go!
  6. mwana wa mtu

    Ad hoc cabinet meeting tommorrow morning

    Though I'm not fond of Lowassa, I wish he was still a Prime Minister things would have not reached this far! just thinking aloud
  7. mwana wa mtu

    Esther Bulaya VS Esther Wassira

    Nimemsikiliza jana kupitia ITV Esther Wassira, ni kweli kabisa kwamba anajenga hoja, ana haiba ya kumiliki jukwaa na hata anaonesha anachokiongea anakimaanisha toka moyoni (Kumbuka kwamba wakati akiongea, ndio wakati huo huo Kikwete alikuwa akiongea kwenye TBC akiwa Shinyanga). Mwanzoni hapa...
  8. mwana wa mtu

    Hatima ya OCD Zuberi Mwombeki wa Arusha

    'Bhawilaghe bageshi, tuginga tulhagile gete gukaya'...hahahha
  9. mwana wa mtu

    Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakasa CC

    Maajabu hayataisha Tanzania Kutoka lile la jamaa 'anayetawala' hivi sasa, na hao wengine ambao watetezi wa kila aina hawakosi humu. Hivi sasa tena kumbe kuna wengine,tena waliojiunga humu specifically kwa kazi hii mpya tena, ya kumpamba huyo wa kutoka UN... Hebu tuacheni ifikie mahali...
  10. mwana wa mtu

    Live Updates: Mwendelezo wa kusikilizwa Rufaa ya Lema - Oktoba 02, 2012

    Mkuu, Ndio simu ambazo Wakenya wanaziita 'gushi'?:lol:, wamezifungia zote!
  11. mwana wa mtu

    Kashfa - Naibu Waziri Janeti Mbene ameanza kutumia madaraka yake vibaya

    Profiles zake...kweli you can't trust most of our politicians!regardless of their 'profiles' Janet Mbene - Tanzania | LinkedIn https://profiles.google.com/105008091061723175789#105008091061723175789/about Senior Fellow: Janet Mbene
  12. mwana wa mtu

    CHADEMA NA TANU: Mfanano na Tofauti

    In most times, if not always, I salute and appreciate your analysis Mchambuzi; you have always deserved my respect!Btw, tofauti nyingine kubwa (bila shaka umeigusia katika maeneo baadhi) ni tofauti ya nyakati tulizopo, tuko katika kipindi ambacho asilimia kubwa ya watu at least 'wana uelewa' wa...
  13. mwana wa mtu

    Mauaji ya Daudi Mwangosi: Ushuhuda wa kilichotokea hadi kifo chake

    Ukiunganisha nukta (when you connect dots), kuna kila sababu ya kuamini kuwa Dr. Slaa alikuwa target!Lakini maskini hasira zote (baada ya kuikosa target)zikahamia kwa waandishi!DUNIANI HUMU HATARI KWELI KWELI!
  14. mwana wa mtu

    Waandishi Kugomea Habari Za Kipolisi; Naomba Nichangie Haya...

    Samahani lakini, sipendi kuwa personal katika kujadili issues, ila kwa hili naomba niulize: Hivi Mjengwa ulisomea wapi na kwa hatua(level)ipi uandishi wa habari?i.e. una diploma, una degree, cheti au ni wale waandishi wanaojigamba wameingia kwenye fani kwasababu ya kipaji(talent)?kutoka hapa...
  15. mwana wa mtu

    "Huenda Mwandishi Daud Mwangosi alitumwa awalipue Polisi kwa bomu (Kujitoa mhanga)"

    Mjitahidi kuwa wafuatiliaji wa mambo(au mfanye utafiti kidogo tu) kabla ya kuongea..Makene ni Afisa habari wa CDM,anafanya kazi ofisi ya Mkurugenzi (Mnyika),tena siku nyingi tu; hata humu JF inajulikana, nashangaa sijui wewe ulikuwa wapi!
Back
Top Bottom