[h=2]Sitta angaka, aionya Kenya [/h]
[h=5]WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mshariki, Samuel Sitta, ameionya Kenya kutokana na mipango yake ya siri ya kuichafua Tanzania. Sitta alisema mipango hiyo ya Kenya imedhihiri baada ya gazeti la Sunday Nation kuchora katuni ambayo ililifananisha Bunge la Tanzania na klabu ya pombe[/h]
kwani kilichokosewa ni kitu gani?
mchoraji wa cartoon yupo sahihi kabisa.
sita aache kujidharirisha kwa kutetea upuuzi ambapo kila mwenye macho na masikio huona na kusikia kiendeleacho kwenye bunge hovyo la sasa.