Mtingaji
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 1,223
- 367
AKSANTE MKUU, PILI MIMI KM MWISLAM NAWASHUKURU SANA WAKRISTU KWA KUYACHUKULIA MATUKIO AYA KWA BUSARA KUBWA PIA SUBIRA, KWA KUWA SERIKALI INAWAJIBIKA KUWALINDA WANANCHI WAKE IVYO INAWAJIBIKA KWA KILA KHALI KUFIDIA UARIFU WALOFANYIWA WAKRISTU O.w SERIKALI LZM IPELEKWE MAHAKAMANI NA ATA THE HAGUE MAANA MAJAJICCM WAWEZA KUCHAKACHUa
Wakristu hatuna haja ya kufidiwa na Serikali, tutajenga makanisa kwa kazi za mikono yetu kwa uweza wa Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu.
Uvumilivu wetu umekaribia kufika mwisho na kwa majivu ya Madhabahu Takatifu Taifa jipya linakwenda kupatikana.