Ili kuelewa zaidi haya ninayoyasema unaweza kusoma baadhi ya nyaraka kuhusu mgogoro ambazo nakuwekea hapa baada ya muda mfupi ujao.
Jamani jamani mbona Mawaziri wa jk ni vituko?
What is the background of this naibu waziri?
Usalama wa taifa umelala fofofo huku mlalahoi akinyang'anywa haki yake
Hii siyo number ya kubenea nimempigia ili nimuambie amsaidie amepokea mtu mwingine naitwa Idi....
Usalama wa Taifa hauwezi kumgusa, she has deep connections there, amezaa watoto na Maige ambae ni former head of National Security na pia mme wake wa kwanza nae alikuwa spy. Pia ana connections nyingine kubwa zaidi, hakuna Mtanzania mwingine aliyewahi kuteuliwa Mbunge wa bure mara mbili, ni Janet Mbene tu. Na si bure.Usalama wa taifa umelala fofofo
Usalama wa Taifa hauwezi kumgusa, she has deep connections there, amezaa watoto na Maige ambae ni former head of National Security na pia mme wake wa kwanza nae alikuwa spy. Pia ana connections nyingine kubwa zaidi, hakuna Mtanzania mwingine aliyewahi kuteuliwa Mbunge wa bure mara mbili, ni Janet Mbene tu. Na si bure.
Vyeo vya kupeana kitqndani hivi haya ndo madhara yake