Asee. Hawa sasso mi nawasikia tu. Nyama yao ni tamu? Kuroiler ndio ninawafuga, wanashawishi kuongeza stock kwa kweli. Tatizo watu wengi wamejiita wauzaji wa Kuroiler, ni shida sokoni.
Sijajua kama unayaongea haya kwa uzoefu au ushabiki.
Ili useme juu ya utagaji wao inapaswa tuwe na mfano wa kulinganisha nao. Je unaposema hawana utagaji mzuri, utagaji wao ni mbaya kulinganisha na aina ipi?
Hao waliokwambia kuku anataga mayai 95 tu kwa mwaka, wanazungumzia mwaka wa utagaji au...
Simba ni katimu ka kihindi, kalifaa tu kacheze cricket au songi.
Katimu ambako kaliundwa wa watu waliokosa Uzalendo. Muda si mrefu, taifa litaingia aibu sababu ya haka katimu kanakomilikiwa na mwamedi
We nawe mbumbumbu kweli kweli, UTHIBITISHOA WA KIHISTORIA? Historia inathibitisha jambo vipi wakati yenyewe ni story?
Ningekuelewa kama ungetaka uthibitishoa wa Kisayansi. Au ndio wale wa akili za kushikiwa na mzungu, huamini kitu hadi upate maadishi ya Kiingereza? Haya, soma hapa Nyongo ya...
Kumbe MUME ndio mhimili eeh, huku kwa wananchi tunachanga...Mo nyie bakieni naye.
Ila kama vichwa vinafanya kazi vizuri (na sio kuvunja viti mode), basi mkumbuke kuwa huyu huyu Morisson ndio alituambia rais wa klabu yenu ya Mbumbmbu FC amemtumia $10k, lkn kwake zimefika 5
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.