Umeingia Mjini ukiwa Premature/Njiti.
Ulitakiwa uendelee kuwepo kijijini bado hadi fikra zako zikomae,
Wewe ukaamua ku-force kuja mjini, subiria, hilo ni trailer, picha laja.
Kama bado una wasi wasi, rudi kwanza kijijini hadi pale utakapo komaa kuja kuishi mjini.
Huo ndio Ushauri wangu.